Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 863
Sikia hii.
Mfungwa mmoja alitoroka jela baada ya kukaa miaka 15, katika kukimbiakimbia akajikuta anaingia nyumba moja na kuwakuta mtu na demu wake wamelala kitandani wakiwa uchi.
Akamtoa bwana kitandani na kumfunga kamba kwenye kiti,akaenda kumbusu mwanamke kwenye shingo kisha akaingia bafuni.
Wakati yuko bafuni jamaa akamwambia mkewe, "Sikiliza huyu bwana ni mfungwa angalia magwanda yake !! Inaonekana amekaa sana jela na ............. siku nyingi sana, hivyo umpe chochote atakacho na usibishe hata akitaka kinyume na maumbile mpe vinginevyo atatuuwa wote wawili, fanya ufanyavyo ili umridhishe huyu bwana aende zake, uvumilie mpenzi, nakupenda sana na ntaendelea kukupenda zaidi".
Mwanamke akajibu "ni kweli usemayo mpenzi huyu bwana ana ........ nyingi sana, ila aliponibusu shingoni alininong'oneza kwamba MUME WAKO NI MZURI NA AMENIVUTIA ZAIDI, KUNA VASELINE AU MAFUTA YOYOTE?
Nikamwambia iko bafuni na ndio kaifuata!! "vumillia mume wangu nakupenda sana na ntaendelea kukupenda zaidi."
Kazi kwenu.