TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Wana Jf kuna wimbi la viongozi wa chama cha mapinduzi na serikali yake kwenda Loliondo kwa babu kupata matibabu, sisi kama wananchi tuna wajibu wa kujua ni kipi kinawasumbua viongozi wetu , kama ni kweli wana magonjwa sugu, mfano mrema anaumwa kisukari, je wengine wanaumwa nini