Hivi hawa tigo kiboko yao niajee

Hivi hawa tigo kiboko yao niajee

h2m

Member
Joined
Mar 1, 2014
Posts
23
Reaction score
9
Maana nashangaa kila ninaekutana nae analalamika kwamba kanunua kifurushi ka-reply SMS "Kiboko Uao" ila code ambazo ndio ticket hajapatiwa. Hivi wanatuzingua au inakuwaje? Naombeni kujua kutoka kwenu wadau. Kama nyinyi mshapata hizo tiketi zenu au laa.
 
unatumiwa ndani ya masaa 24.....mimi nimetumiwa jana code
 
unatumiwa ndani ya masaa 24.....mimi nimetumiwa jana code kesho naenda kutoa stress zangu leaders
 
  • Thanks
Reactions: h2m
Ila mimi mpaka saa hii sijatumiwa na nimejiunga tangu saa moja asubuh
 
Back
Top Bottom