wasio na GPA za 3.5 aisee nawapa pole sana.....daaah huu mwaka umeangukia pabaya sana kulaleki sasa wale waliochelewa kusoma imebuma yaan degree hapana kuiona kabisa...kama ningekuwa mimi ningesoma upya diplomaTushauriane tusio na GPA za 3.5 nasi tuipate hiyo elimu ya chuo kikuu jamaniiiiiiii
Haya huwa tunaita maamuzi magumu mkuuwasio na GPA za 3.5 aisee nawapa pole sana.....daaah huu mwaka umeangukia pabaya sana kulaleki sasa wale waliochelewa kusoma imebuma yaan degree hapana kuiona kabisa...kama ningekuwa mimi ningesoma upya diploma
kumbe hapa hapanihusu, siruhusiwi kuchangiaTushauriane tusio na GPA za 3.5 nasi tuipate hiyo elimu ya chuo kikuu jamaniiiiiiii
Kasome diplomaTushauriane tusio na GPA za 3.5 nasi tuipate hiyo elimu ya chuo kikuu jamaniiiiiiii
Mbona huo Mfumo upo zamani Mkuu! Ndiyo hule Unaoitwa RPL (Recognition of Prior Learning).Endeleeni na kazi kwn kutakuwa na mfumo wa moja kwa moja TCU ukitokea kazini
Wapo wenye vi A A lakini ni asante past papers.Hawawezi kazia hiyo GPA ya 3.5 wewe itakuwa ni tatizo kubwa na vyuo vitafungwa kwa kukosa wanafunzi afu wewe hushtuki tu mbona admission zinachelewa !jiangalie wewe kitambo ufaulu upo vile vile ila ilitakiwa tu kuondoa janja janja ya kupata vyuo bila sifa na siyo kukomoa kwa kupandisha GPA kwa watu wa diploma afu mtu wa six ana vidii vyake viwili tu eti anakwenda chuo (DD) sijaona kitu hapo mimi