Au sioMkuu ukiwa Mtanzania usisumbuke sana kama ngono unapata na mkono kwenda kinywan ukisubiria kufa.
Torvic mutu wangu inakuwaje?Au sio
Mkuu ukiwa Mtanzania usisumbuke sana kama ngono unapata na mkono kwenda kinywan ukisubiria kufa.

Hawajatoboa hata masikio!
Jana niliweka Uzi humu nikitilia mashaka umasai wa hawa watu. Niliwasikia wakihojiwa na BBC ila lafudhi yao si ya kimasai kabisa, wanaongea kiswanglish. Baadaye uzi uliondolewa! Kuna mchezo mchafu unachezwa katika hili.
Hao watu wa michongo wa serikali hawatumii akili.Hii nchi bhana,!!
Nani aliwaandikia hayo mabango?
Mengine yameprintiwa kabisa.
Kuna posho imetembea hapo