Hivi hawa ni Wamasai kweli?

Hivi hawa ni Wamasai kweli?

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,136
Reaction score
33,541
IMG_7547.jpg

IMG_7548.jpg

IMG_7549.jpg
 
Wamasai wakuchovya.
Hapo naona vijana wengi tu wa Tandika.
Mnakumbuka Yale maandamano mengine ya kuchovya kipindi kile Cha MTU yule aliyekwisha kutwaliwa.
 
Hii nchi bhana,!!

Nani aliwaandikia hayo mabango?

Mengine yameprintiwa kabisa.

Kuna posho imetembea hapo
Hao watu wa michongo wa serikali hawatumii akili.
Ni mmasai gani atachangisha wenzake ku print bango Kama hayo (white/red)
Wamekuja na usafiri gani toka Loliondo.
Serikali iweke mpaka kwenye ardhi yenu Tena muipongeze?
Hivi wanamdanganya Nani ?
Si ajabu TBC wakairusha hii habari.
Lkn pia police gani kawapa kibali Cha kuandamana?
 
Back
Top Bottom