Tata Maestro
Senior Member
- Jan 8, 2017
- 169
- 175
Wadau,
Halotel walivyo sasa ni shida, customer care kuwapata mpaka upige maombi ya mfungo wa kutokula na kunywa maji, protocol yao hata haieleweki, miaka 3 tu wameshiba ivi kweli TZ ni shamba la bibi. Walikuja na mbwembwe za internet lakini sasa hiyo internet imebaki kwenye mabango yao, yaani ni mbovu sana, na inakatisha tamaa, kuna sehemu wanasema kuna 3G kumbe ni geresho. Kwasasa huwezi kutumia internet ya Halotel zaidi ya dakika 5 haijakata kabisa na kwenye laptop haina nguvu haiwezi kufungua application zingine za kawaida kabisa. HALOTEL HAWANA SIFA TENA YA KUENDELEA KUWATANGAZIA WATEJA KUWA WANA HUDUMA NZURI YA INTERNET TENA, HUO UTAKUWA ULAGHAI, WABORESHE KWANZA NDO WAFANYE IVYO.
Halotel walivyo sasa ni shida, customer care kuwapata mpaka upige maombi ya mfungo wa kutokula na kunywa maji, protocol yao hata haieleweki, miaka 3 tu wameshiba ivi kweli TZ ni shamba la bibi. Walikuja na mbwembwe za internet lakini sasa hiyo internet imebaki kwenye mabango yao, yaani ni mbovu sana, na inakatisha tamaa, kuna sehemu wanasema kuna 3G kumbe ni geresho. Kwasasa huwezi kutumia internet ya Halotel zaidi ya dakika 5 haijakata kabisa na kwenye laptop haina nguvu haiwezi kufungua application zingine za kawaida kabisa. HALOTEL HAWANA SIFA TENA YA KUENDELEA KUWATANGAZIA WATEJA KUWA WANA HUDUMA NZURI YA INTERNET TENA, HUO UTAKUWA ULAGHAI, WABORESHE KWANZA NDO WAFANYE IVYO.