drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
Wakuu ninapopost hii msg nipo msibani kwa jirani alouawa na bomu chakushangaza kama siokusikitisha ni hali ya mabomu yolozagaa mtaani kwetu mpaka dk hii nashindwa kuelewa kazi ya jeshi na kama wapo maana wamepita wameyaona wameyaacha mara hawana wataalumu wakutosha yani akuna majibu sahihi na watt wanayachezea tu.