BUNGE Huru...
Sasa kama hutaki asafiri nje unataka aje kukutembelea wewe kila siku?Hizi safari za rais zimezidi sana,hakuna uwezekano hizi safari zichunguzwe au kuundiwa kamati/tume ili
kujua imeleta manufaa gani kwa taifa,au hakuna mamlaka inayoweza kufanya uchunguzi wa hizi safari au hata kustopishwa kwanza.
Safari za Raisi kwa mawazo yangu sio tatizo la Tanzania. Ukizuia safari wakati ili kupunguza matumizi wakati pesa za matumizi zinatoka hukohuko haina msingi. Ni sawa na kusema watu wabaki vijijini wasije msini kutafuta kazi kwasababu watatumia pesa nyingi kusafiri!!. Hii hoja ni ya kutokuelewa pesa ya Tanzania inatoka wapi!!
Kwa Mawazo yangu safari alizofanya hapa USA ni za msingi sijui sehemu nyingine.
hivi akishtukia si anaweza akavunja bunge kabla hawajafanya lolote
Hizi safari za rais zimezidi sana,hakuna uwezekano hizi safari zichunguzwe au kuundiwa kamati/tume ili
kujua imeleta manufaa gani kwa taifa,au hakuna mamlaka inayoweza kufanya uchunguzi wa hizi safari au hata kustopishwa kwanza.
Hizi safari za rais zimezidi sana,hakuna uwezekano hizi safari zichunguzwe au kuundiwa kamati/tume ili
kujua imeleta manufaa gani kwa taifa,au hakuna mamlaka inayoweza kufanya uchunguzi wa hizi safari au hata kustopishwa kwanza.
Naona umepata nafasi ya kujitangazia kuwa upo USAKwa Mawazo yangu safari alizofanya hapa USA ni za msingi sijui sehemu nyingine.
Unaongelea impossibilities!! Fahamu kuwa hobby kubwa ya JK, ni kusafiri nje!! Na kumbuka kuwa wapambe wake kwa kuwa wanaijua hiyo hobby yake kuu, hawaishi kumfagilia, kuhusu safari zake za nje,popote penye mkusanyiko.Kwani hujamsikia Magufuli jana akimuhimiza JK, aendelee kusafiri kwenda nje, kwa kuwa anajua kuongea kiingereza mpaka anawalainisha wafadhili wetu wana tumwagia misaada, kama hao walitufadhili kwenye huo mradi wa mabasi yaendayo kasi?! Kweli ukishangaa ya Musa, utayaona ya Firauni!!Hizi safari za rais zimezidi sana,hakuna uwezekano hizi safari zichunguzwe au kuundiwa kamati/tume ili
kujua imeleta manufaa gani kwa taifa,au hakuna mamlaka inayoweza kufanya uchunguzi wa hizi safari au hata kustopishwa kwanza.