Kukaa kipindi fulani bila kufanya ngono?
Mfano mimi familia yangu, baada ya mama kuja ughaibuni baba akavuta mke wazee wakadai ni makosa yake mama, baba asingeweza kukaa peke yake na nimeshuhudia dada mmoja akipewa mimba na mchepuko wake, baada ya mumewe kusafiri mkoani kikazi, swali langu wanajamii hatuwezi kabisa kukaa bila kufanya ngono?
Mbona often 'tunawatuhumu' wapenzi wetu ambao kwa sababu moja au nyingine,walitokea kuwa mbali nasi.
Kuwa ni 'makosa' yao tume-cheat, i mean why tuna justify uzinzi?
Mfano mimi familia yangu, baada ya mama kuja ughaibuni baba akavuta mke wazee wakadai ni makosa yake mama, baba asingeweza kukaa peke yake na nimeshuhudia dada mmoja akipewa mimba na mchepuko wake, baada ya mumewe kusafiri mkoani kikazi, swali langu wanajamii hatuwezi kabisa kukaa bila kufanya ngono?
Mbona often 'tunawatuhumu' wapenzi wetu ambao kwa sababu moja au nyingine,walitokea kuwa mbali nasi.
Kuwa ni 'makosa' yao tume-cheat, i mean why tuna justify uzinzi?