Hivi Fidel Castro yuko wapi?

Hivi Fidel Castro yuko wapi?

believer

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
639
Reaction score
216
Tangu ndugu yake bwana Raul achukue kijiti cha kuliongoza taifa Cuba toka kwa Fidel Castro,sijamsikia kabisa Fidel,anaumwa bado?au ni vp
 
yupo jamaica, wiki iliyopita alikuwa kilindi kuwasaidia alshababu
 
Fidel hajafariki sema vyombo maarufu kwa kuvumisha habari cnn bbc arljzeela.
 
Tangu ndugu yake bwana Raul achukue kijiti cha kuliongoza taifa Cuba toka kwa Fidel Castro,sijamsikia kabisa Fidel,anaumwa bado?au ni vp

acha udhalilishaji mkuu...huwezi ukamtaja mtu kama yule kirejareja kiasi hicho...fidel castro nini..muuza kahawa au mchoma mkaa?

UNGEPASWA KUANZA NA FIELD MARSHAL FIDEL CASTRO AU HATA MARSHAL CASTRO
 
dah!watu8 unapenda kupiga hela kweli...mshikaji yupo bana anamalizia uzee wake havana huko

Hahaha dili zangu hazivuki bahari...

Mkuu kuna watu ni wavivu sana, wana uwezo wa kufungua JF lakini sio Google...

Sasa inabidi tu tuwajibu kinyume nyume pengine akili itakaa sawa...

Ishu niaje lakini?
 
acha udhalilishaji mkuu...huwezi ukamtaja mtu kama yule kirejareja kiasi hicho...fidel castro nini..muuza kahawa au mchoma mkaa?

UNGEPASWA KUANZA NA FIELD MARSHAL FIDEL CASTRO AU HATA MARSHAL CASTRO

Samahani mkuu,FM FC.
 
acha udhalilishaji mkuu...huwezi ukamtaja mtu kama yule kirejareja kiasi hicho...fidel castro nini..muuza kahawa au mchoma mkaa?

UNGEPASWA KUANZA NA FIELD MARSHAL FIDEL CASTRO AU HATA MARSHAL CASTRO

Fidel Castro sio field marshal

Field marshal ni jenerali mwenye nyota tano

Kwa kawaida u-field marshal unapatikana kama jenerali akishinda vita tatu

Anapandishwa automatically na sio by appointment

Kigezo nilichtaja hapo juu cha u-filed marshal field hana

Huwezi kumuita fidel marshal
 
Back
Top Bottom