tanzanite miner
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 257
- 172
Sijui ni uelewa wangu mdogo au ni nini,nijuavyo ni kua baada ya huu mkonga kusambazwa karibu nchi nzima tuliahidiwa kua gharama zitapungua na kua bora zaidi.alakini mpaka muda huu gharama zipo juu sana.
Inakuaje hii kitu au tuhamie ttcl ndio kuna nafuu?
Inakuaje hii kitu au tuhamie ttcl ndio kuna nafuu?