Yapo mkuu. Ila binadamu wanayatafuta kwa mabavu na nguvu zao tu bila kumuomb MUNGU, kwa mwanamke atajiremb kwa vitu bandia adi uzuri wa kwa mganga ili mwanaume ategeke na mwanaume atatafuta mali pesa nying adi kwa waganga kuongez utajir il wanawake wampate bila shida mwishowe unagundua mapenz hakuna kwasabab mmetafta kwa nguv za kibinadamu bila kumshirikisha MUNGU.