Kama role modal wetu China angekuwa super power nadhani wananchi wa nchi nyingi za Africa wangekuwa na hali mbaya sana kwa ukandamizaji ambao wangekutana nao toka kwa viongozi wao wa nchi!
China yeye hajali hata kama mnauana,ilimradi anapata faida basi anaendelea kukukopesha mamiradi kibao!
Pia wachina unaweza waomba wakukopeshe hela ya barabara ila wewe ukaenda kununua ndege,wala hawajali ilimradi tu pesa yao irudi!Ukishindwa wanashika bandari na vitega uchumi vyako!