Hivi dunia ya Leo ingekuweje kama taifa la Marekani lisingekuwa Super Power?

Marekani ni taifa lililobarikiwa; wanatumia ma Trillion ya dola regulate mifumo ya kimataifa...kwa nini?

Bila hawa dunia ingekuwa mahalia pa hovyo kabisa kuishi, kila taifa lingefanya litakavyo.

US kiboko; ukiwabishia tu wiki humalizi madarakani.
 
Wachina ni jamii ya waafrika tu...aliyenarikiwa ni Mzungu!! Nafikiri ndiyo uzao hakisi wa Ibrahim.
 
Wachina ni jamii ya waafrika wana matatizo mengi tu...aliyebarikiwa ni Mzungu!! Nafikiri ndiyo uzao halisi wa Ibrahim.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…