the truecaller
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 809
- 940
chadema ilitegemea wakubwa ambao lowassa alitegemea kuhama nao toka ccm,na walipopotelea angani na chadema ikapotelea angani.
yaani utoke nyumba ya kupanga mgomgo wa tembo pale ufipa uje kuingia ikulu ukitumia chama taasisi ya baba mkwe?
LA HASHA!
yaani utoke nyumba ya kupanga mgomgo wa tembo pale ufipa uje kuingia ikulu ukitumia chama taasisi ya baba mkwe?
LA HASHA!