jamaa una low IQ sana gentleman,naona katuga alipoambiwa anabwabwaja na nguli wa sheria TAL, basi na nyie mbogamboga mnadhani mnaweza kusema mtu anabwabwaja
Inaelekea amepapenda sana huko.ila huyu dah, hadi huruma.
halafu,
lupango ugali ni bure, kulala bure gentleman
Punguzeni kuandika uzushi na upuuzi kila dakikaHayupo, hana uwezo au viongozi wa Chadema masalia hawamuamini?
Kulikoni viongozi wa Chadema masalia ndio wanabwabwaja zaidi mambo ya kisheria zaidi ya mwanasheria mwenyewe?
Kama yupo, sidhani kama anaweza kuwasaidia chochote kuhusu sheria na Chadema masalia wakafanikiwa.
Mungu Ibariki Tanzania.
tuliza mihemko gentleman,Punguzeni kuandika uzushi na upuuzi kila dakika
Si unaona kila mara mahakamani huwa anakuja na t-shirt zenye jumbe tofauti.kupanga ni kuchagua tu gentleman,
huenda pamemfaa na anaenjoy vizuri tu
mbogamboga bwanajamaa una low IQ sana gentleman,
kwahiyo kama maji yanaitwa maji kwa kiswahili,
ulitaka mtu mwingine ayaitaje hata kama wewe umeyataja mapema? mma au?
kubwabwaja ni kubwabawaja tu gentleman
Bata kweli wewe, dadako samia ana akili hata kwa bakuli hazijai...afu eti mshauri wake mkuu bashite - hivi tuna Tanganyika kweli?Hayupo, hana uwezo au viongozi wa Chadema masalia hawamuamini?
Kulikoni viongozi wa Chadema masalia ndio wanabwabwaja zaidi mambo ya kisheria zaidi ya mwanasheria mwenyewe?
Kama yupo, sidhani kama anaweza kuwasaidia chochote kuhusu sheria na Chadema masalia wakafanikiwa.
Mungu Ibariki Tanzania.
Mbwembwe tu hizo mkuu,korokoroni kumemfanya awe mbunifu,
ila minyoo sijui kaipatia wapi, anakujana na msosi kabisa kizimbani
Inabidi tuwe tunachagua maandiko ya kusoma! Walevi wa damu za watanzania kama wewe hufai! Ona unavyoandika kingumbaru!Hayupo, hana uwezo au viongozi wa Chadema masalia hawamuamini?
Kulikoni viongozi wa Chadema masalia ndio wanabwabwaja zaidi mambo ya kisheria zaidi ya mwanasheria mwenyewe?
Kama yupo, sidhani kama anaweza kuwasaidia chochote kuhusu sheria na Chadema masalia wakafanikiwa.
Mungu Ibariki Tanzania.
hilo ni jambo muhimu, huru na binafsi gentleman,Inabidi tuwe tunachagua maandiko ya kusoma! Walevi wa damu za watanzania kama wewe hufai! Ona unavyoandika kingumbaru!
tuliza mihemko kuku,Bata kweli wewe, dadako samia ana akili hata kwa bakuli hazijai...afu eti mshauri wake mkuu bashite - hivi tuna Tanganyika kweli?
Na nyie JWZT muwe mnatumia akili walau kidogo, hii si Tanganyika ambayo waasisi waliipigania, hili sasa ni pango wa wanyanganyi, tena wa kutumia silaha.
Taifa gani linathubutu kuua vijana zaidi ya 10,000 kisa tu etimadaraka, upumbavu. Hebu tuache huu ujinga haraka sana.