Hivi Chadema bado ipo?

Hivi Chadema bado ipo?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,849
Wanajishughulisha na nini kwa sasa baada ya kuachana na masuala ya kisiasa na kua kituo cha mamluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi katika eneo la maziwa makuu?
Na je,
shughuli zao hizo za ukuwadi wa mabwenyenye ya magharibi bado wanazifanyia Nairobi au wamezihamishia DRC?
Na wale vijana vijana wao malofa waliobebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi na bado wanalelewa pale Nairobi na yule kibaraka mbibi?

Mungu Ibariki Tanzania
 
Wanajishughulisha na nini kwa sasa baada ya kuachana na masuala ya kisiasa na kua kituo cha mamluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi katika eneo la maziwa makuu?
Na je,
shughuli zao hizo za ukuwadi wa mabwenyenye ya magharibi bado wanazifanyia Nairobi au wamezihamishia DRC?
Na wale vijana vijana wao malofa waliobebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi na bado wanalelewa pale Nairobi na yule kibaraka mbibi?

Mungu Ibariki Tanzania
Kamuulize mamako wa kizimkazi Hilo swali au mpaka Abdul akupe buku saba.
 
Wanajishughulisha na nini kwa sasa baada ya kuachana na masuala ya kisiasa na kua kituo cha mamluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi katika eneo la maziwa makuu?
Na je,
shughuli zao hizo za ukuwadi wa mabwenyenye ya magharibi bado wanazifanyia Nairobi au wamezihamishia DRC?
Na wale vijana vijana wao malofa waliobebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi na bado wanalelewa pale Nairobi na yule kibaraka mbibi?

Mungu Ibariki Tanzania
Chadema ipo sana. Tena imara kabisa.
 
Wanajishughulisha na nini kwa sasa baada ya kuachana na masuala ya kisiasa na kua kituo cha mamluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi katika eneo la maziwa makuu?
Na je,
shughuli zao hizo za ukuwadi wa mabwenyenye ya magharibi bado wanazifanyia Nairobi au wamezihamishia DRC?
Na wale vijana vijana wao malofa waliobebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi na bado wanalelewa pale Nairobi na yule kibaraka mbibi?

Mungu Ibariki Tanzania
Screenshot_20251222-120716~2.png
Screenshot_20251217-065939~2.png
 
Kama mtu unaweza kusaliti jamii yako, ukaamua kutetea uovu na mauaji. Ukasaliti haki ukatetea ukandamizaji, utashindwaje kusaliti jinsia yako ya kiume ukaibeba jinsia ya kike?

Ndio maana nasisitiza machawa wanapakatwa halafu mnasema CHADEMA inatetea mashoga
 
Wanajishughulisha na nini kwa sasa baada ya kuachana na masuala ya kisiasa na kua kituo cha mamluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi katika eneo la maziwa makuu?
Na je,
shughuli zao hizo za ukuwadi wa mabwenyenye ya magharibi bado wanazifanyia Nairobi au wamezihamishia DRC?
Na wale vijana vijana wao malofa waliobebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi na bado wanalelewa pale Nairobi na yule kibaraka mbibi?

Mungu Ibariki Tanzania
Kamuulize msajili, husisumbue watu hapa.
 
Wanajishughulisha na nini kwa sasa baada ya kuachana na masuala ya kisiasa na kua kituo cha mamluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi katika eneo la maziwa makuu?
Na je,
shughuli zao hizo za ukuwadi wa mabwenyenye ya magharibi bado wanazifanyia Nairobi au wamezihamishia DRC?
Na wale vijana vijana wao malofa waliobebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi na bado wanalelewa pale Nairobi na yule kibaraka mbibi?

Mungu Ibariki Tanzania
Mbwaaaa🚮🚮🚮

Kama haipo kwanini unaiwaza na kuitaja? M
 
Wanajishughulisha na nini kwa sasa baada ya kuachana na masuala ya kisiasa na kua kituo cha mamluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi katika eneo la maziwa makuu?
Na je,
shughuli zao hizo za ukuwadi wa mabwenyenye ya magharibi bado wanazifanyia Nairobi au wamezihamishia DRC?
Na wale vijana vijana wao malofa waliobebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi na bado wanalelewa pale Nairobi na yule kibaraka mbibi?

Mungu Ibariki Tanzania
Mumeo kila akikuzingua stresses zako zote zinaishia kupandisha uzi wa kipuuzi. Vipi amekuzingua kuhusu matumizi ya sikukuu nini?
 
Wanajishughulisha na nini kwa sasa baada ya kuachana na masuala ya kisiasa na kua kituo cha mamluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi katika eneo la maziwa makuu?
Na je,
shughuli zao hizo za ukuwadi wa mabwenyenye ya magharibi bado wanazifanyia Nairobi au wamezihamishia DRC?
Na wale vijana vijana wao malofa waliobebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi na bado wanalelewa pale Nairobi na yule kibaraka mbibi?

Mungu Ibariki Tanzania
1000440793.png


Nywinywinywiiii... Nyenyenyenyeeee...
Harakati haziuliwi kwa kuua vyama ama kuteka, kutesa, kulawiti na kuua watu!
 
Wanajishughulisha na nini kwa sasa baada ya kuachana na masuala ya kisiasa na kua kituo cha mamluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi katika eneo la maziwa makuu?
Na je,
shughuli zao hizo za ukuwadi wa mabwenyenye ya magharibi bado wanazifanyia Nairobi au wamezihamishia DRC?
Na wale vijana vijana wao malofa waliobebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi na bado wanalelewa pale Nairobi na yule kibaraka mbibi?

Mungu Ibariki Tanzania

Kama haipo kesi mahakamani ni za nini...!!?
 
Wanajishughulisha na nini kwa sasa baada ya kuachana na masuala ya kisiasa na kua kituo cha mamluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi katika eneo la maziwa makuu?
Na je,
shughuli zao hizo za ukuwadi wa mabwenyenye ya magharibi bado wanazifanyia Nairobi au wamezihamishia DRC?
Na wale vijana vijana wao malofa waliobebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi na bado wanalelewa pale Nairobi na yule kibaraka mbibi?

Mungu Ibariki Tanzania
ipo moyoni mwako!
ndio maana unashinda kutwa kuiwaza!
 
Back
Top Bottom