Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,155
- 30,849
Wanajishughulisha na nini kwa sasa baada ya kuachana na masuala ya kisiasa na kua kituo cha mamluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi katika eneo la maziwa makuu?
Na je,
shughuli zao hizo za ukuwadi wa mabwenyenye ya magharibi bado wanazifanyia Nairobi au wamezihamishia DRC?
Na wale vijana vijana wao malofa waliobebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi na bado wanalelewa pale Nairobi na yule kibaraka mbibi?
Mungu Ibariki Tanzania
Na je,
shughuli zao hizo za ukuwadi wa mabwenyenye ya magharibi bado wanazifanyia Nairobi au wamezihamishia DRC?
Na wale vijana vijana wao malofa waliobebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi na bado wanalelewa pale Nairobi na yule kibaraka mbibi?
Mungu Ibariki Tanzania
