Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,248
- 98,242
Akiwa mkoani Iringa katibu mkuu wa ccm ametoa kali ya kumalzia mwezi wa tano.
Bwana mkubwa huyo nadhani amekosa cha kuongea mara baaa ya kutoa katazo kwa wana Iringa wasitumie fursa walizo nazo kujipatia ajira.
Amesema kuanzia sasa hakuna mwana Iringa kumruhusu mtoto wake ambaye anasifa za kuwa mfanyakazi wa ndani kwenda kufanya kazi hizo.
Wazazi hawana uwezo wa kuwasomesha watoto wao kutokana na gharama za elimu kuwa juu na mwisho wake wanaishia darasa la 7.
Ajira kwa darasa la 7 mara nyingi ni kazi za ndani,leo hii wewe unawaambia wasiwaruhsu watoto wao waliokosa elimu kwenda kufanya kazi za ndani.
Unataka wakae kwa wazazi wao ili iweje kwa mfano?
Wewe watoto wako wanafanya kazi gani? Je wapo nyumbani wako wanasubiri msimu wa mvua waadae mashamba?
Jamani ccm wacheni maneno ya kutukatisha tamaa maana hata kazi za nyumbani ni ajira pia.
Bwana mkubwa huyo nadhani amekosa cha kuongea mara baaa ya kutoa katazo kwa wana Iringa wasitumie fursa walizo nazo kujipatia ajira.
Amesema kuanzia sasa hakuna mwana Iringa kumruhusu mtoto wake ambaye anasifa za kuwa mfanyakazi wa ndani kwenda kufanya kazi hizo.
Wazazi hawana uwezo wa kuwasomesha watoto wao kutokana na gharama za elimu kuwa juu na mwisho wake wanaishia darasa la 7.
Ajira kwa darasa la 7 mara nyingi ni kazi za ndani,leo hii wewe unawaambia wasiwaruhsu watoto wao waliokosa elimu kwenda kufanya kazi za ndani.
Unataka wakae kwa wazazi wao ili iweje kwa mfano?
Wewe watoto wako wanafanya kazi gani? Je wapo nyumbani wako wanasubiri msimu wa mvua waadae mashamba?
Jamani ccm wacheni maneno ya kutukatisha tamaa maana hata kazi za nyumbani ni ajira pia.