Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Ivi nyie ccm mlikuwa na mamlaka gani kuivamia comoro na kumweka rais mliyemtaka?
Mtoto anapozaliwa huwa ni wako kwa sababu kazaliwa nyumbani kwako na una sheria na taratibu zako.
Ila ukimnyanyasa au kumuuwa anakuwa wa jamuhiri, ivyo ivyo tanzania ina sheria zake lakini ukienda kinyume kuna majirani na sheria zilizo nje ya mipaka yako lazima waseme.
Msipende sifa sana wakati hamustahiri
Mtoto anapozaliwa huwa ni wako kwa sababu kazaliwa nyumbani kwako na una sheria na taratibu zako.
Ila ukimnyanyasa au kumuuwa anakuwa wa jamuhiri, ivyo ivyo tanzania ina sheria zake lakini ukienda kinyume kuna majirani na sheria zilizo nje ya mipaka yako lazima waseme.
Msipende sifa sana wakati hamustahiri