Nimepita Dar,nimeona mabango mengi yakimnadi Dr Maguguli.Katika mabango hayo hamna alama yeyote ya CCM.Dr Magufuli anajinadi yeye kama yeye.Ina maana anajinadi kama mgombea binafsi kitu ambacho kwa Tanzania hakipo.Hii inaonesha wazi kuwa Dr Magufuli anaogopa kuweka nembo ya CCM,Mfano aweke picha yake aseme chagua CCM,Dr Magufuli.Ukiona mgombe anaogopa kuomba kura kupitia chama chake anaomba yeye kama yeye,ujue amegundua mfumo ni mbovu ila tu anaogopa kusema ubadilishwe kwa kuogopa kuzingirwa (Ref Sumai)