Wanajamvi
Kama kichwa cha uzi kinavyosema
Hivi kweli bila kupepesa macho wala unafiki CCM inayojinasibu kuwa ni wakubwa na wana wafuasi wengi wanakwenda kushindana na chama gani????
Ni kipi kitawafanya wajivunie ushindi?
Binafsi naona aibu
Nasoma comment.
Kama kichwa cha uzi kinavyosema
Hivi kweli bila kupepesa macho wala unafiki CCM inayojinasibu kuwa ni wakubwa na wana wafuasi wengi wanakwenda kushindana na chama gani????
Ni kipi kitawafanya wajivunie ushindi?
Binafsi naona aibu
Nasoma comment.