Hivi CCM imebashakiwa na wanachama wangapi!?

Hivi CCM imebashakiwa na wanachama wangapi!?

nadhan waliobak ni wanacham jez tu saab ata uyo makomeo anawakubali ukaw kinomanoma
 
Wasalaam wanajamvi.

Nimejaribu kufuatilia mwenendo wa wananchama wanaojitoa kwenye chama chetu kikongwe cha CCM kwa siku za karibuni na kuona nililete hili hapa jamvini ili mwenye data atusaidie.

Naangalia picha kila siku wanachama wakirudisha kadi na hata zingine wakizichama na kuzichoma moto. Kwa idadi niliyoshuhudia mwenyewe ni wanachama wengi na bado wanaendelea kutokihama chama.

Swali langu ni juu ya tulivyoaminishwa kuwa CCm ina wananchama 6,000,000 (milioni sita), kwa mwendo huu watakuwa wamebakia wanachama wangapi!?

Mwenye taarifa na data za karibuni anisaidie.

Nawasilisha.

Mimi nimejiunga na CCM, siku waliomkata Lowassa.

Nihesabu ndio utajua tuko wangapi?
 
Siasa hizi sie tunazipigia debe mjini tu.
Na Mikoa yenye mihemko ya kisiasa Arusha,na Dar kwa wavivu wengi.
Ila huko Vijijini watu bado wana misimamo yao na wanaendelea na maisha yao.

Na ukichunguza UKAWA wengi ni vijana waliokata tamaa ya maisha wao wenyewe kwa uvivu wao.Na hii mbinu waliitumia saana CUF huku Zanzibar kuhamasisha wananchi juu ya Maisha bora mbadala wakichukua Dola.Sasa waulize leo hii hali ipoje na wamo ndani ya Baraza la maamuzi.Hahaha utacheka mpaka basi,sasa hivi ADC Hamad Rashid ndio anakuja kupiga msumari ule ule wa ahadi za CUF kuhusu vijana.
Siasa ni kama ugonjwa ambao watu tunaambukizana,yaani ukikaa na mtu fulani basi ukikutana na mwenzio basi maelezo yao yanafanana ila kwenye kuchambua hoja ndio shida sasa.Mtu anakuambia tu mie UKAWA au CCM.Ukimuuliza anakuambia maisha haya yameishanitosha,ukienda kwa undani anakula na kulala kwao na shule alikimbia.
Au mwingine anakila kitu ila mvivu kama yeye hakuna,anatamani kesho yaje mameli ya Kigiriki awe baharia.Political Science ni zaidi ya tunavyoijua kwa wana Siasa wa Tanzania.Na wanaisasa wana Target sana waliojikatia tamaa wao wenyewe.

Sasa watu mkiona pale watu wamejazana kwenye mikutano basi mnaona ndio idadi ya wanachama wenye nguvu,bila kujua upana na uimara wa chama chenyewe.

umenena mkuu, tatizo baadhi ya watu walichezea maisha wanadhani Lowassa atawasaidia Milo yao, au kuwaandalia future zao. wanaume mgangamale jukumu la kujiinua Lipo mikononi kwako hakuna m wanasiasa wa kukusogezea mkate mezani. hizo ni ndoto za abunuasi.
 
wakifika milion tatu ni bahati kwa sababu wengi wapo kule kimwili tu lakini kiroho wapo ukawa
 
Mimi nimejiunga na CCM, siku waliomkata Lowassa.

Nihesabu ndio utajua tuko wangapi?
Mimi sifanyi kazi ya kuhesabu na ndio maana nikauliza. Nimeona juzi kadi ambazo zingine ni za miaka ya sitini zikirejeshwa, na haikuwa mjini bali huko huko vijijini.
Mwenye makadirio ya idadi ya in and out atusaidie ili tubalance idadi ya awali!

 
Hii ndio ya karibuni kabisa. Hapa hujaunganisha ya jana na juzi nk
ccm.png
chanzo: http://www.itv.co.tz/
 
Ukawa mtashangaa, hizi elfu thelathini anazo mwaga Lowasa tutazila, kutubeba kwenye mabasi tutapanda ili tutalii, NA KURA HATUMPI
 
Wasalaam wanajamvi.

Nimejaribu kufuatilia mwenendo wa wananchama wanaojitoa kwenye chama chetu kikongwe cha CCM kwa siku za karibuni na kuona nililete hili hapa jamvini ili mwenye data atusaidie.

Naangalia picha kila siku wanachama wakirudisha kadi na hata zingine wakizichama na kuzichoma moto. Kwa idadi niliyoshuhudia mwenyewe ni wanachama wengi na bado wanaendelea kutokihama chama.

Swali langu ni juu ya tulivyoaminishwa kuwa CCm ina wananchama 6,000,000 (milioni sita), kwa mwendo huu watakuwa wamebakia wanachama wangapi!?

Mwenye taarifa na data za karibuni anisaidie.

Nawasilisha.

Katika hao nitoe mimi nishawaachia chama chao wanakitengo. Hivyo hivyo wamebaki 5,999,999. Endelea kutoa wengine ukianzia na Lowassa,Lembeli,Mgeja,Bulaya,Guninita n.k............
 
Kuchoka umechoka peke yako, na uende kwenye maadamano ya pokea Lowassa na under 20s wenzio
Sie chama chetu kina songa mbele.

Kuanzia 18 years, wana haki, tena for your info mi sio under 20. Watanzania tumechoka labda nyie wachaache tu, CCM imeshindwa kazi miaka 50 hamna lolote la maana mlilonyanya. Lowassa ndio rais ajaye hata kama hampendi ndio ukweli
 
Back
Top Bottom