simple answer to you: kila chama kina utaratibu wake
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA WADHAMINI WA KUMSUPORT KUGOMBEA URAISI,,
KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...
Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..
Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA WADHAMINI WA KUMSUPORT KUGOMBEA URAISI,,
KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...
Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..
Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...[/QUO
mbona ridhwani wakati akitafuta wadhamini wa baba yake hukusema
Ishu si mbona chama fulani. Suala la msingi sheria inasemaje? Tatizo nchini kwetu tunatabia mbaya sn ya kupindisha sheria. Leo hii CHADEMA wanapiga kampeni kabla ya muda kwa kisingizio CCM walifanya, ah huu ni upuuzi. Hebu tuwe tunasema ukweli bila ya kujali ni nani anahusika katika ukweli ule.
You are not of our own kind!!hahahahaha Jaman Speed uisha jamani, walianza NCCR 1995, wakaja CUF 2000, na sasa Chadema 2010, kitakuja kingine na kingine tena
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA WADHAMINI WA KUMSUPORT KUGOMBEA URAISI,,
KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...
Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..
Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA WADHAMINI WA KUMSUPORT KUGOMBEA URAISI,,
KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...
Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..
Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA WADHAMINI WA KUMSUPORT KUGOMBEA URAISI,,
KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...
Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..
Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...
walitaka aende jangwani peke yake au na watu wangapi wawili?...kumi?....mia?...what is the maximum, au walitaka ajifungie chumbani na kujaza majina feki kama alivyofanya ridwani.Vichwa vya Panzi bana utaona tu maandishi yao na reasoning yao
Sasa watu watakudhamini bila ya kuwaambia kwa nini unataka kugombea, Ulitaka aende Jangwani aweke kiti akae watu waje wamdhamini au
Come on Think out of the Box bana acha kuandika vitu kama mtoto wa Chekechea
jamani naomba muwe Educated sijamtaja mtu na nime uliza swali nijibiwe na si kupata Swali lingine lililo base katika uchama..