Mbowe hakupaswa kusubiri watu watangaze kugombea uenyekiti bali alitakiwa awe ametang'atabgaza kung'atuka kabla

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,033
151,255
Mbowe amekaa kwenye hiyo nafasi kwa muda mrefu na amefanya mengi mazuri na bila shaka kuna mambo hakuyafanya vizuri kama binadamu.

Hata hivyo; ni hulka ya wanadamu kutaka mabadiliko hata kama utakuwa kiongozi mzuri kiasi gani. Kuna wakati utafika watu watatakka ukae pembeni upishe wengine.

Sio hivyo, katika kuonyesha demokrasia ya kweli na kuonyesha kutokuwa na uroho ws madaraka pamoja na kuonyesha utofauti na vyama vingine, Mbowe alipaswa kuyaona yote haya mapema na kutangaza l kutogombea tena hiyo nafasi ili atoe fursa kwa wengine.

Hii ingemjengea heshima, ingeimarisha umoja katika chama na kuondoa hatari ya kuwagawa wanachama na hata kukivuruga chama kwa ujumla. Tukumbuke maadui zetu hasa CCM wanatamani tuvurugane kwahiyo tusiwape hiyo nafasi.

Kwa sasa nafasi bado anayo, ila uamuzi wowote ataoufanya sasa baada ya Lissu kutangaza kugombea uenyekiti, utapokelewa kwa hisia tofaut.i Mojawapo ni hofu ya kushindwa na Lissu jambo ambalo lisingetokea kama angerangaza kutogombea kabla ya Lissu kujitokeza kugombea hivyo nafasi.

All in all, Mbowe ni wakati wa wewe kustaafu kwa heshima kuliko kung''ang'a hiyo nafasi. Ni wakati wa kuonyesha kwa vitendo tofauti ya CHADEMA na vyama vingine hasa CCM wanaotoa form moja ya kugombea uenyekiti wa chama Taifa na hata kwa mgombea uraisi.

Mwisho, naahauri wajitokeze na wengine ili Lissu asigombee pekee yake ingawa Lissu kwa sasa huu ni wakati wake.
 
Mbowe amekaa kwenye hiyo nafasi kwa muda mrefu na amefanya mengi mazuri na bila shaka kuna mambo hakuyafanya vizuri kama binadamu.

Hata hivyo; ni hulka ya wanadamu kutaka mabadiliko hata kama utakuwa kiongozi mzuri kiasi gani. Kuna wakati utafika watu watatakka ukae pembeni upishe wengine.

Sio hivyo, katika kuonyesha demokrasia ya kweli na kuonyesha kutokuwa na uroho ws madaraka pamoja na kuonyesha utofauti na vyama vingine, Mbowe alipaswa kuyaona yote haya mapema na kutangaza l kutogombea tena hiyo nafasi ili atoe fursa kwa wengine.

Hii ingemjengea heshima, ingeimarisha umoja katika chama na kuondoa hatari ya kuwagawa wanachama na hata kukivuruga chama kwa ujumla. Tukumbuke maadui zetu hasa CCM wanatamani tuvurugane kwahiyo tusiwape hiyo nafasi.

Kwa sasa nafasi bado anayo, ila uamuzi wowote ataoufanya sasa baada ya Lissu kutangaza kugombea uenyekiti, utapokelewa kwa hisia tofaut.i Mojawapo ni hofu ya kushindwa na Lissu jambo ambalo lisingetokea kama angerangaza kutogombea kabla ya Lissu kujitokeza kugombea hivyo nafasi.

All in all, Mbowe ni wakati wa wewe kustaafu kwa heshima kuliko kung''ang'a hiyo nafasi. Ni wakati wa kuonyesha kwa vitendo tofauti ya CHADEMA na vyama vingine hasa CCM wanaotoa form moja ya kugombea uenyekiti wa chama Taifa na hata kwa mgombea uraisi.

Mwisho, naahauri wajitokeze na wengine ili Lissu asigombee pekee yake ingawa Lissu kwa sasa huu ni wakati wake.
Huwezi kama Kiongozi kukiacha Chama katika kipindi ambacho watu hununuliwa maana inaweza kukidumaza Chama.
 
Mbowe amekaa kwenye hiyo nafasi kwa muda mrefu na amefanya mengi mazuri na bila shaka kuna mambo hakuyafanya vizuri kama binadamu.

Hata hivyo; ni hulka ya wanadamu kutaka mabadiliko hata kama utakuwa kiongozi mzuri kiasi gani. Kuna wakati utafika watu watatakka ukae pembeni upishe wengine.

Sio hivyo, katika kuonyesha demokrasia ya kweli na kuonyesha kutokuwa na uroho ws madaraka pamoja na kuonyesha utofauti na vyama vingine, Mbowe alipaswa kuyaona yote haya mapema na kutangaza l kutogombea tena hiyo nafasi ili atoe fursa kwa wengine.

Hii ingemjengea heshima, ingeimarisha umoja katika chama na kuondoa hatari ya kuwagawa wanachama na hata kukivuruga chama kwa ujumla. Tukumbuke maadui zetu hasa CCM wanatamani tuvurugane kwahiyo tusiwape hiyo nafasi.

Kwa sasa nafasi bado anayo, ila uamuzi wowote ataoufanya sasa baada ya Lissu kutangaza kugombea uenyekiti, utapokelewa kwa hisia tofaut.i Mojawapo ni hofu ya kushindwa na Lissu jambo ambalo lisingetokea kama angerangaza kutogombea kabla ya Lissu kujitokeza kugombea hivyo nafasi.

All in all, Mbowe ni wakati wa wewe kustaafu kwa heshima kuliko kung''ang'a hiyo nafasi. Ni wakati wa kuonyesha kwa vitendo tofauti ya CHADEMA na vyama vingine hasa CCM wanaotoa form moja ya kugombea uenyekiti wa chama Taifa na hata kwa mgombea uraisi.

Mwisho, naahauri wajitokeze na wengine ili Lissu asigombee pekee yake ingawa Lissu kwa sasa huu ni wakati wake.
NAkumbuka kuna wakati alikwishatangaza kuwa hatagombea nafasi ya uwenyekiti tena, labda awe amebadili mawazo.

Lakini kukaa muda mrefu kwa Mbowe kwenye nafasi hiyo kumeisaidia sana CHADEMA na Taifa. Fikiria angekuwa alimwachia nafasi hiyo Sumaye, Msigwa au Mwambe, CHADEMA ingekuwa iliishapotea zamani.

Uongozi kwenye vyama vya upinzani, kama CHADEMA, ni kujitoa sadaka hasa kwaajili ya Watanzania.
 
Siasa za Lissu ni confrotational haziwezi kudumu..na hivyo mtu anayeamini kwa mrengo huo asipopata wafuasi wanaofanana nae unakuwa ndio mwisho wa chochote anachofanya, kwa maana hiyo hawezi kuwa Mwenyekiti wa chama akafanikiwa sababu hao wafuasi wa kufanana nae sio tu CHADEMA hata kwa nchi nzima ni km hawapo, km wapo ni wachache sana..la pili kuwa Mwenyekiti wa chama cha siasa cha upinzani Tanzania si tu kujua kuongea na kuwa na elimu..inahitaji kujitoa sana kwa rasilimali zako mwenyewe pale inahitajika, mkionyesha hata chumba cha darasa moja tu alichojenga Lissu jimboni kwake wakati akiwa mbunge..niko tayari kufuta huu uzi..Lissu hana sifa ya kuchangia maendeleo kwa kutoa rasilimali toka mfukoni kwake, na kuwa Mwenyekiti wa chama upinzani ni kuwa MLEZI pia..hii sifa Lissu hana! Conclusion..pengine atafaa siku za usoni Mungu akimjalia afya! lkn si kwa sasa..!
kuna jambo jingine CHADEMA wanapaswa kufahamu na nadhani wanafahamu lkn wanachukulia poa..kuna kundi kubwa sana la vijana ndani ya chama ni mamluki..lengo lao ni kuleta fujo kuvuruga MAAMUZI..chama kijihadhari sana na maamuzi yanashinikizwa na vijana..lugha za jazba, ushabiki km wa ccm, matusi, kejeli na dharau na fujo zingine, mkiwafahamu watu hawa dawa ni kutojali sana wanachosema..bahati mbaya hawa ndio wanamsapoti Lissu agombee uenyekiti taifa, kwangu mimi bora kubaki 5 ndani ya chama kuliko kuwa na kundi la vijana 1,000 wa aina ya waliopo CHADEMA kwa sasa.
 
Lissu ni Moja ya Viongozi Wachache Sana wa Upinzani wasioninulika

Mtu Sahii kuchukua Kijiti cha uenyekiti ni Lissu, Heche
Tatizo lake ni mropokaji. Kama kweli ana sifa wenzake si wataona na kukubaliana agombee bila kushambulia Mtu?
 
Back
Top Bottom