Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 29,000
- 46,980
Naafiki baadhi ya mambo ila sio yotesidhani kama kupeleka vijana njee itasaidia kwasababu ubunifu sio kitu kinafundishwa tuna ma wasomi wengi wamesoma vyuo vikuu vikubwa nje lakini sio watu wa vumbuzi na watatua changamoto ,kwangu nachukulia ni kama tabia au uwezo ambao unajengwa kwa muda mrefu sio miaka miwili mitatu, wataalamu wa njee wanaweza kuletwa ndani kwa muda fulani wasaidie tu na kuongoza njia wapo wanafunzi na vijana nje ya mfumo wa elimu wana mawazo yao mazuri ila awana wa kuwapa njia na kuwasimamia kwasababu walimu wenyew wengi hata awajawahi kuwa wabunifu na wavumbuzi awawezi kuona mawazo ya kivumbuzi na kuyaongoza kutimiza adhma ya wazo husika
Me naona bhas tumeumbwa wazembe wachache wetu wana uwezo na uwajibikaji wao mkubwa ila ndo unamezwa na wazembe na wajinga wengi tulio nao, pengine tunatakiwa kupelekwa msobe msobe mwendo wa jeshini mpaka tubadilike. Maana kuna vitu ni vidogo ety yani ata kubadlisha jembe la mkono kwenda kwenye kifaa kidogo cha umeme cha kumsaidia mkulima mdogo kulima haraka eneo lake kuokoa muda na kuongeza ufanisi shambani kifaa kiwe cha gharama ya chini au kati ila watu wamudu kukipata kwa bei nafuu maana matrecta kukodi gharama kwa wakulima wa nchi hii. Hii nayo twende china?Naafiki baadhi ya mambo ila sio yote
Kwa mfano mdogo tu kuna kijana sio msomi ila amebadili mfumo wa Bajaj kutoka kwenye mafuta na kuwa mfumo wa solar
Ila serikali haina Habari nae kabisa
Sasa kama vijana wakipelekwa nje kama Enzi za mwalimu kule Havana kufundishwa udaltari nk
Huwezi kuleta wachina wafundishe namna ya kutengeneza simu wakati huna hata vyombo na vifaa
Ndio maana nasema bora wakajifunze nje
Imagine engineers wakapelekwa Germany au Holland kujifunza zaidi kwenye viwanda vyao na kupata ujuzi hata kama ni wajenzi
Tatizo letu ni nidhamu ya kujituma hatuna ila unapopeleka vijana kwenda kuona na kujifunza kwa wenzetu wanakuwa na maadili zaidi na kuona wenzetu walivyo
Kikwete alisema natuma vijana Kenya wakajifunze namna ya kupakia vyakula na matunda kwenye maboksi REALLY yaani hata packaging hatuwezi wenyewe hebu lione hilo
😆 😂 Naona umeongea kwa uchungu sanaMe naona bhas tumeumbwa wazembe wachache wetu wana uwezo na uwajibikaji wao mkubwa ila ndo unamezwa na wazembe na wajinga wengi tulio nao, pengine tunatakiwa kupelekwa msobe msobe mwendo wa jeshini mpaka tubadilike. Maana kuna vitu ni vidogo ety yani ata kubadlisha jembe la mkono kwenda kwenye kifaa kidogo cha umeme cha kumsaidia mkulima mdogo kulima haraka eneo lake kuokoa muda na kuongeza ufanisi shambani kifaa kiwe cha gharama ya chini au kati ila watu wamudu kukipata kwa bei nafuu maana matrecta kukodi gharama kwa wakulima wa nchi hii. Hii nayo twende china?
Ubunifu gani watu vyuoni wanapata marks kwa kutoa chini, unaweza kuwa na wazo mwalimu asione impact yake akakukatisha tamaa, amaa mahabara isijitosheleze wewe kufanya unachotaka plus una njaa boom ujapata utaanzia wapi😆 😂 Naona umeongea kwa uchungu sana
Kama India bado wana machine za kutengeneza nguo walizoachiwa na mkoloni mpaka leo miaka 150 bado zinafanya kazi tena ni za familia najua kuna mama mmoja baba yake alifariki akaendeleza mpaka leo ni kiwanda kikubwa sana kinazalisha
Sisi ni wazembe sana na waizi sana
Kila wanachoona ni dili hata madaraja wangekuwa na uwezo wa kuyaiba wangeyaiba tu
Kuhusu majembe inatakiwa vijana wetu so called wasomi wa vyuo ndio waje na ubunifu halafu wengine wanawekeza kwa kununua vifaa au machine za kutengenezea
Najua ni ngumu sana maana tumezoea kutumia vya watu ila sisi ni wazembe wa akili
Ni shida kila sehemu ndio maana vijana wanaishia kuwa BodaUbunifu gani watu vyuoni wanapata marks kwa kutoa chini, unaweza kuwa na wazo mwalimu asione impact yake akakukatisha tamaa, amaa mahabara isijitosheleze wewe kufanya unachotaka plus una njaa boom ujapata utaanzia wapi
Haujamuelewa mtoa mada laiti ungemuelewa ungejubu vzr,yeye ameingeka kwa mapana yake kwa lengo la elimu ni kuweza watu kujikwamua na changamoto zinazowazunguka sasa vipi sisi mbona elimu tunayo lkn still changamoto hata ndogondogo tunashindwa kuzitatua?Ndio maana wanaposhindwa maisha wanaanza kusingizia zile "elimu" zao walizonunua kama commodity dukani kwamba watapata faida wakija kuiuza
Wanachoshindwa kujua ni kwamba kupata mali na kupata elimu ni vitu viwili tofauti
Kupata elimu kama bidhaa eti ili uje uize baadae upate faida ni biashara ya ajabu maana kuna kupata hasara au faida,wakipata hasara wanaanza kulia
Kuliko kufanya hiyo biashara ni heri ufanye biashara ya kawaida kabisa ya kuuza tangible products kwa wanadamu wengine wakulipe
Watu wanatafuta uelewa na how to think effectively to help them to solve problems in their lives and not otherwise.
Getting money or not getting money is the by-product!
Na kwanini tuwaze kutafuta watu wa nje kutupa ujuzi huo?sisi wenyewe tumeshindwa kabisa kuja na ujuzi ambao utatuletea tija?yani ukifikiria hii elimu yetu unabaki kukuona huruma elimu Haina msaada wowote kwenye ivyo vyuo sasa ni mambo ya hovyo tu yanafanyika ivi sisi nani katuroga sisi ni WA kupewa misaada kwenye kila sekta? Kilimo misaada,afya misaada,umeme,barabara kila eneo misaada ivi kweli hatuoni haibu?sidhani kama kupeleka vijana njee itasaidia kwasababu ubunifu sio kitu kinafundishwa tuna ma wasomi wengi wamesoma vyuo vikuu vikubwa nje lakini sio watu wa vumbuzi na watatua changamoto ,kwangu nachukulia ni kama tabia au uwezo ambao unajengwa kwa muda mrefu sio miaka miwili mitatu, wataalamu wa njee wanaweza kuletwa ndani kwa muda fulani wasaidie tu na kuongoza njia wapo wanafunzi na vijana nje ya mfumo wa elimu wana mawazo yao mazuri ila awana wa kuwapa njia na kuwasimamia kwasababu walimu wenyew wengi hata awajawahi kuwa wabunifu na wavumbuzi awawezi kuona mawazo ya kivumbuzi na kuyaongoza kutimiza adhma ya wazo husika
Watu wa ndani wameshindwa kusimamia mawazo yenye tija kwa jamii, labda sasa tuajiri wenye uwezo wa kusimamia wawasaidie watanzania wenye mawazo pengine matokeo yataonekna, baada ya muda waliosimamiwa na wakafanikiwa watakuwa na uwezo wa kusimamia watanzania wenzao wafanakiwe kama wao, nani aone aibu? Wakati mtu akila vizuri na familia yake anaona kamaliza aoni hata haya kutokea kwenye jamii ya kimaskini, wanaenda kwenye mikutano na watu wenye uchungu na mataifa yao wanaoboresha mazingira ya wananchi wao kila leo na wanakaa kwa amani ata haya awapatiNa kwanini tuwaze kutafuta watu wa nje kutupa ujuzi huo?sisi wenyewe tumeshindwa kabisa kuja na ujuzi ambao utatuletea tija?yani ukifikiria hii elimu yetu unabaki kukuona huruma elimu Haina msaada wowote kwenye ivyo vyuo sasa ni mambo ya hovyo tu yanafanyika ivi sisi nani katuroga sisi ni WA kupewa misaada kwenye kila sekta? Kilimo misaada,afya misaada,umeme,barabara kila eneo misaada ivi kweli hatuoni haibu?
Nashindwa kuelewaHaujamuelewa mtoa mada laiti ungemuelewa ungejubu vzr,yeye ameingeka kwa mapana yake kwa lengo la elimu ni kuweza watu kujikwamua na changamoto zinazowazunguka sasa vipi sisi mbona elimu tunayo lkn still changamoto hata ndogondogo tunashindwa kuzitatua?
Naunga mkono hoja 👍👏Tunasoma ili tufikishe miaka 18 tupige kura kuchangua Mh mwenyekiti wa mtaa, diwani, mbunge na Rais wa chama cha mapinduzi
Kwa hiyo hautaki alaumiwe ?Endelea kulaumu na uache kujirekebisha unapoona palikosewa itakusaidia.Ninyi wengine bila kulalama midomo inauma na kufa ganzi.
Kwa nini hautaki alumiwe ?Itasaidia nini kama makosa yake yalishajulikana?Yatafutie suluhu.Au unataka afufuke mbishane?
Mimi nimelaumu wapi ?Wewe mtu,sasa hapo utakuwa unalaumu (1)Nyerere aliyenmarehemu?(2)Jina lake?(3)Kuzaliwa kwake?(4)Makosa yake?Au unalaumu tu ili uwe umelaumu?
Unamlaumu mtu ambaye hayupo?Akujibu nani hapo?Na wewe umefanya kitu gani ili kufuta makosa yale?
Ndio nakuuliza kwa nini hautaki Nyerere alumiwe ?Bado unaendelea kulaumu kwa nini siafiki mwalimu kulaumiwa?
Silaumu ila nauliza kwa nini hutaki Nyerere alumiwe ?Kwa hiyo unalaumu kwa nini sijakujibu unavyotaka?
Bado hujajibu swali, kwa nini hautaki Nyerere alumiwe ?Uliza yako imekuwa ya kujirudiarudia sana.Unaitofautishaje na kulaumu wakati awali nilishakujibu?Acha lawama.Lawama za kila muda bila ukomo ni kiashiria cha kutojitambua umetoka wapi,upo wapi na nia yako uelekee usawa upi.Huyo Nyerere alianza kulaumiwa kuanzia na mababu zetu na baba zetu.Ifikie sehemu iwe imetosha!Tufanye utofauti kwa kuonesha maendeleo na mabadiliko tuyatakayo kwa nyakati hizi.Na hapa bado utanilaumu nimeandika mengi hadi umechoka kuyasoma.
Huna akil nyerere alikua wakwanza kugundua adui mkuu wawatanzania ni elimu... Kwanza kujenga vyuo vingi sio kutatua ujinga wawatz saiv mavyuo kibao ila ujinga ndo umejaaa.... Seleman mkubwa wewMawazo yako ni sehemu ya madhara ya kua na elimu duni, mtu wa kulaumu katika nchi hi ni mwl Nyerere, hakutaka kuelimisha wa Tanzania zaidi ya kuwapa basics za elimu tu.
Nyerere ndo chanzo cha ujinga na elimu duni, isipo kua alikua anayaongea ongea nyerere alikua kiongozi mnafiki sanaa alipotezea baba zetu mda na ujinga wake wa ujaama.Huna akil nyerere alikua wakwanza kugundua adui mkuu wawatanzania ni elimu... Kwanza kujenga vyuo vingi sio kutatua ujinga wawatz saiv mavyuo kibao ila ujinga ndo umejaaa.... Seleman mkubwa wew