hata kama ataweka mafisadi wake kuwa Mawaziri wananchi wakae wakijua sheria zote zinapitishwa bungeni kwahiyo hiyo mikataba fake na ufisadi wao utakuwa limited na Kikwete hana interest au kitu chochote atakachojali kwani 2015 ni mwisho wake. CCM yenyewe inajua Kikwete hana interest na hii nchi kwani makosa makubwa ni kutowakubalia walioshinda kura za maoni kugombea, CCM imekuwa na makundi ambayo yanamwumiza kichwa hata mabest zake wa karibu wanamtosa.
Kazi ni bungeni, na upinzani utahakikisha Katiba inafanyiwa marekebisho makubwa tena kuanzia kuteua majaji, kuteua tume za uchaguzi ziwe kwenye neutral ground kwani Rais pia ni mwanachama wa chama fulani kinachogombea kwanini ateue watu kama hao na nina uhakika 100% kiongozi yoyote wa upinzani akishinda issue ya katiba haitamsumbua kitu kwani anajua ameingia kwa nguvu za wananchi na katiba si tatizo ila kwa CCM especially JK hiyo inampa kiburi...