Hivi baada ya harusi ni lazima wanandoa kwenda honeymoon?

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,796
Kumekuwa na mkanganyiko au malumbano mbalimbali kuhusu wanandoa baada ya harusi kwenda haney moon na wakati mwingine kupelekea hadi wanandoa kuanza kununiana siku mbili tuu baada ya kufunga ndoa. Mara nyingi hua wanawake baadhi ndio hukomalia hili suala tena na wengine hujichagulia kabisa sehemu wanayotaka bila hata kuangalia uwezo wa kamati husika,

Je kwenda haney moon ni hiari au ni lazima?
 
Hakuna MTU asietaka kwenda honeymoon ila unakuta uwezo na hali zimebana......
Sio lazima lakini inapendeza sana
 
Mpeleke mtoto wa watu Honey moon hakukua na haja ya kuharakisha kuoa kama hukujipanga hasa kimtimizia mwenzio hitaji lake na mahitaji mengine. Kama limekushinda hili dogo kesho tu utakuja kuuliza tena kwani ni lazima kumlala mkeo kila siku! Muoe kama mna uwezo sio kukimbilia tu mnawapa wakati mgumu mabinti wa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpeleke mtoto wa watu Honey moon hakukua na haja ya kuharakisha kuoa kama hukujipanga hasa kimtimizia mwenzio hitaji lake na mahitaji mengine. Kama limekushinda hili dogo kesho tu utakuja kuuliza tena kwani ni lazima kumlala mkeo kila siku! Muoe kama mna uwezo sio kukimbilia tu mnawapa wakati mgumu mabinti wa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani tukienda nyumbani kuna shida gani mkuu
 
La muhimu upendo harusi ikiisha honey moon sio lazima.

Nawaza tuu kuwa mda huo mko nyumbani kwenu na vizuri kama mwanaume alishaajenga mko free kwann mda huo mwanamke asiutumie kumpikia mmewe kila aina ya chakula??

Inategemea wanandoa wengine unakuta mda hautoshi umepewa ruhusa kazini may be week mbili kwa ajiri ya harusi na unakuta uchumba mlikuwa mnaishi mbali, hukupata mda kwa kumpikia mmeo in short kumuhudumia. Sasa mmeoana kwa nn msitulie mfanye yenu ndani kwenu then kila mmoja asepe kazini??

Mwanaume amekula hotelin miaka yote sasa kaoa aendelee kula hotelin wakati mda hautoshi?? Kwa wenye mahusiano ya karibu sawa ila mahusiano ya mbali ambapo baada ya harusi inabidi mrudi kazini haraka hm sio lazima. Labda kama mda unatosha inshort au mmejiajiri.

Ni mtazamo wangu.
 
La muhimu upendo harusi ikiisha honey moon sio lazima.

Nawaza tuu kuwa mda huo mko nyumbani kwenu na vizuri kama mwanaume alishaajenga mko free kwann mda huo mwanamke asiutumie kumpikia mmewe kila aina ya chakula??

Inategemea wanandoa wengine unakuta mda hautoshi umepewa ruhusa kazini may be week mbili kwa ajiri ya harusi na unakuta uchumba mlikuwa mnaishi mbali, hukupata mda kwa kumpikia mmeo in short kumuhudumia. Sasa mmeoana kwa nn msitulie mfanye yenu ndani kwenu then kila mmoja asepe kazini??

Mwanaume amekula hotelin miaka yote sasa kaoa aendelee kula hotelin wakati mda hautoshi?? Kwa wenye mahusiano ya karibu sawa ila mahusiano ya mbali ambapo baada ya harusi inabidi mrudi kazini haraka hm sio lazima. Labda kama mda unatosha inshort au mmejiajiri.

Ni mtazamo wangu.
Uko sawa kabisa huenda mawazo yako ni kama yangu
 
mkuu sio lazima ila kuna umuhimu wake kunaongeza ladha ya mapenzi baina ya wanandoa wapya na kunawapa nafasi ya kuwa peke yenu na ulimwengu wenu kwa kipindi Fulani

ila inaleta maana na kuwa nzuri zaidi kwa wale ambao hawajashake before use

ila kwa kizazi cha sasa cha kuogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia mnaoana tayari mshajuana hadi makovu ya mahali ambapo hapafikiriki haina maana kwa kweli fungeni zenu ndoa nendeni nyumbani basi
 
Honey moon sio lazima kwanza binafsi huwa sioni faida yake, kwa miaka ya sasa ambayo wachumba wanakuwa wamejuana mapema ni uharibifu wa pesa tu maana hakuna jipya
 
Kumekuwa na mkanganyiko au malumbano mbalimbali kuhusu wanandoa baada ya harusi kwenda haney moon na wakati mwingine kupelekea hadi wanandoa kuanza kununiana siku mbili tuu baada ya kufunga ndoa. Mara nyingi hua wanawake baadhi ndio hukomalia hili suala tena na wengine hujichagulia kabisa sehemu wanayotaka bila hata kuangalia uwezo wa kamati husika,

Je kwenda haney moon ni hiari au ni lazima?


Honeymoon (Fungate) ilikuwa mahususi kwa ajili ya uzinduzi wa waliooana kwa mara kwanza kufanya tendo, siku hizi watu wanaoana wakiwa wameshakutana na kulala pamoja zaidi ya mara mbili hapo kwenda honeymoon ni kupoteza pesa na muda tu.
 
Back
Top Bottom