Hivi baada ya balozi wetu kuwakuna Watanzania, sharti la kupima lililegezwa?

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,760
48,410
Madereva Watanzania wamekua wakipimwa na majirani zao wote SADC na EAC na kukutwa na corona, kama jinsi hata madereva wetu wanapimwa Uganda na kugunduliwa na corona, ila Watanzania kama ilivyo kawada yao wanalia lia na kufukia vichwa ardhini maana kwao huko wamejiaminisha hawana corona.

Tofauti na kwingine huko ni kwamba sisi tuna uwezo wa kupima wengi kwa mkupuo, na kwamba madereva wengi wa Tanzania huja Kenya, tofauti na majirani zao wengine, hivyo tunapima wengi na kuwagundua na corona, hii inasababisha aibu kwa wakuu wao ambao wamewaaminsha raia wao kwamba corona imeisha na sasa wajiandae Jumapili kupiga makelele ya ushindi dhidi ya corona, ila kila wakithubutu kuingia kwa nchi yoyote jirani namba za waathirika wao zinapandsha.

Jamaa wamelia lia mpaka imembidi balozi wetu kuwahutubia na kuwakuna akiwaita ndugu na mazagazaga mengine ambayo hutumika huko kwa watu wa mfumo wa ujamaa, ila swali bado linabaki pale pale; je, dereva Mtanzania akiingia Kenya au kwenye taifa lolote jirani, atapimwa au aachwe aingie na corona yake kisa walikunwa kunwa na balozi wetu.

Sisi hatuna wasiwasi kuhusu wao kuzuia madereva wetu, muhimu sana madereva wetu wazuiwe kuingia kwenye nchi ambayo imejichokea kwenye vita dhidi ya corona kisa umaskini, maana kila wakigeuza wanakuja na corona.

Napenda sana wanachokifanya Uganda, wanapima madereva wetu kiasi kwamba hatuwaogopi wakirudi, lakini wakienda Tanzania au Mkenya yeyote akienda Tanzania akirudi lazima tumpigie ukunga akithubutu kuingia kinyemela. Kila mtu lazima apimwe. Pima, pima, pima, hata iwe nani au hata akilia vipi.
 
Ndo mjue mnapoteza pesa na muda kuangaika kupima pima watu,sisi Tanzania tumeshatambua huu ugonjwa hauna madhara kwa sisi wafrika weusi hivyo hakuna sababu ya kutiana hofu. Hata wewe mwenyewe mleta mada unaweza pimwa hapo ulipo na ukaambiwa unao wakati hauna tatizo lolote. Muelewe huu ugonjwa hauna athari kwetu muache kupumbazwa na wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo mjue mnapoteza pesa na muda kuangaika kupima pima watu,sisi Tanzania tumeshatambua huu ugonjwa hauna madhara kwa sisi wafrika weusi hivyo hakuna sababu ya kutiana hofu. Hata wewe mwenyewe mleta mada unaweza pimwa hapo ulipo na ukaambiwa unao wakati hauna tatizo lolote. Muelewe huu ugonjwa hauna athari kwetu muache kupumbazwa na wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Utambuzi wenu hautuhusu, mbaki nao huko huko lakini mkitaka kung'ang'ania kuingia kwenye nchi za watu lazima mfuate sheria na masharti mnayoyakuta huko, ifahamike kwetu hapa tunazo hata sheria za usafiri baina ya majimbo, lazima upimwe unaposafiri kutoka jimbo moja kwenda nyingine, sasa kajamba kutoka nje ya nchi ndiye nani aingie tu kama kwake vile.

Lazima mpimwe, yeyote atakayekutwa ananuka corona anageuzwa mkajuane huko wenyewe. Ndivyo ilivyo kwa majirani zenu wote SADC na EAC, na ndio maana mnahisi kama mumetengwa vile ila sivyo, ni kwamba tunazingatia hatua za kisayansi na kufuata ushauri maana hili ni janga la kisayansi sio zile pumba za kikombe cha babu.
 
We zombi la mathare hakuna mtz anaeza kuhamia kunyaland ila nyie mlivo jazana huku sasa ok working permit mtachukua kwa dola af5
Kq mkija qarantine 2wk
Budaa all option are on table

Magari mengi ya tz kenya we ujui maana yake? Logistic wise mko nyuma sana

Lazima mpimwe, hamna kuingia tu hivi hivi, ukinuka corona unatolewa nduki mkaambukizane huko kwenu....mengine yote hayatuhusu, kwa sasa tunawaza kuhusu afya na usalama wa watu wetu, kila anayekuja haswa wanaotokea kwenye mataifa ambayo yamejichokea lazima wapimwe mara mbili mbili.
 
Utambuzi wenu hautuhusu, mbaki nao huko huko lakini mkitaka kung'ang'ania kuingia kwenye nchi za watu lazima mfuate sheria na masharti mnayoyakuta huko, ifahamike kwetu hapa tunazo hata sheria za usafiri baina ya majimbo, lazima upimwe unaposafiri kutoka jimbo moja kwenda nyingine, sasa kajamba kutoka nje ya nchi ndiye nani aingie tu kama kwake vile.

Lazima mpimwe, yeyote atakayekutwa ananuka corona anageuzwa mkajuane huko wenyewe. Ndivyo ilivyo kwa majirani zenu wote SADC na EAC, na ndio maana mnahisi kama mumetengwa vile ila sivyo, ni kwamba tunazingatia hatua za kisayansi na kufuata ushauri maana hili ni janga la kisayansi sio zile pumba za kikombe cha babu.
Usidanye watu apa akuna tena dereva wa tz anae vuka mpaka au hujui wanamgomo kuhusu upimaj wenu?
Kama sio kuwashwa nnya n nin shobo tu kwa wanaume au unatafta bwana?

Pambaneni na madeni na kipindupindu kwanza ndo muje uku

By tha way ki diplomacy kenya mmeomba msamaha sema mmekosea sjui mlikua mna muadress nan utopolo wa balozi wenu
 
Usidanye watu apa akuna tena dereva wa tz anae vuka mpaka au hujui wanamgomo kuhusu upimaj wenu?
Kama sio kuwashwa nnya n nin shobo tu kwa wanaume au unatafta bwana?

Pambaneni na madeni na kipindupindu kwanza ndo muje uku

By tha way ki diplomacy kenya mmeomba msamaha sema mmekosea sjui mlikua mna muadress nan utopolo wa balozi wenu

Basi kwa huo mgomo wabaki huko huko....hii ni nchi ya uchumi wa kati hatutaki kuletewa balaa za umaskini na watu waliojichokea wanashindwa kupambana na corona kisa umaskini.
 
Huwa nasema humu Wakenya ndio watu wenye IQ ndogo dunia nzima.

Madereva wakenya wanazurura Tanzania zaidi ya wiki wakipimwa wanakutwa negative, lakini watanzania wanakutwa positive.

Endeleeni kudundana virungu mkilazimishana lock down wasee wa failed state.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nyie mliwapima lini ilhali mlisema mumesitisha kupima na kuanza kupima mapaipai....
Hao madereva wetu huko wakirudi kwetu lazima tuwapime maana kila anayegeuza akitokea kwenu anagunduliwa kuwa na corona, yaani huko kwenu sasa ni bahari la corona.
 
Tuache ushabiki wa kizandiki...watanzania kwa hili tunabugi sana...kama sie tumekubali Corona imeisha kwetu kwa nini tunaogopa kupimwa wakati tunaingia kwa wengine? Kila nchi inanjia yake ya kupambna na hili janga na jiwe alisema tusipangiwe basi na sie tusiwapangie wenzetu jinsi ya kufanya kwenye hili...tunajanzwa ujinga na viongozi wetu then tunareact tu bila kujiongeza? Kenya wana haki ya kulinda watu wao kama tunaona wanatuonea kwa nini tunang'aninia kwenda? Tubaki kwetu wao waje kwetu kufata wanachotaka.
 
Lazima mpimwe, hamna kuingia tu hivi hivi, ukinuka corona unatolewa nduki mkaambukizane huko kwenu....mengine yote hayatuhusu, kwa sasa tunawaza kuhusu afya na usalama wa watu wetu, kila anayekuja haswa wanaotokea kwenye mataifa ambayo yamejichokea lazima wapimwe mara mbili mbili.
hakuna mtz anavuka mpaka sasa mtawapima aje ?
Em acha ushambenga mtoto wa shoga
aya em nipe idad yawa tz walovuka mpaka jana?
 
Basi kwa huo mgomo wabaki huko huko....hii ni nchi ya uchumi wa kati hatutaki kuletewa balaa za umaskini na watu waliojichokea wanashindwa kupambana na corona kisa umaskini.
Et maskini tehteh propaganda za jubilii naona zishakupa mimba teari
Et midle midofinga labda
Kwa vipi polisi wenu wale walkua wanavaa yeboyebo msha wanunulia buti?
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Nyie mliwapima lini ilhali mlisema mumesitisha kupima na kuanza kupima mapaipai....
Hao madereva wetu huko wakirudi kwetu lazima tuwapime maana kila anayegeuza akitokea kwenu anagunduliwa kuwa na corona, yaani huko kwenu sasa ni bahari la corona.
Mbona madereva wenu mkiwapima mnawakuta negative wakati wamezurura sana Tanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mliwapima lini ilhali mlisema mumesitisha kupima na kuanza kupima mapaipai....
Hao madereva wetu huko wakirudi kwetu lazima tuwapime maana kila anayegeuza akitokea kwenu anagunduliwa kuwa na corona, yaani huko kwenu sasa ni bahari la corona.
maajabu ya kuny'ass kujitia dole la mkumdu na kunusa

Huo utopolo wako apo juu unadhihirisha undondocha wa kenya
 
Mbona madereva wenu mkiwapima mnawakuta negative wakati wamezurura sana Tanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app

Duh! Huna taarifa, madereva wetu na hata Wakenya wasio madereva ila wamesafiri kutokea Tanzania tunawagundua sana na corona, kwenu huko hakuna anayeingia na kutoka bila kirusi. Itakua labda malazi kwenye gesti zenu hizo au sijui kitu gani kinasbabisha madereva wanaambukizwa wengi hivi.
 
Kwani baada ya kubwabwaja baloz wenu wameruhusiwa kupita madereva wenu ?cc hatuangalii mkenya kapima au hajapima wote marukufu , Ila raia wa Nchi zingine hakua kuangali kapima apite aende . Tanzania ni Iran ya A.mashariki ikitoa jibu lake linakua kali na lakuumiza kweli linamgusa muhusika moja kwa moja
Utambuzi wenu hautuhusu, mbaki nao huko huko lakini mkitaka kung'ang'ania kuingia kwenye nchi za watu lazima mfuate sheria na masharti mnayoyakuta huko, ifahamike kwetu hapa tunazo hata sheria za usafiri baina ya majimbo, lazima upimwe unaposafiri kutoka jimbo moja kwenda nyingine, sasa kajamba kutoka nje ya nchi ndiye nani aingie tu kama kwake vile.

Lazima mpimwe, yeyote atakayekutwa ananuka corona anageuzwa mkajuane huko wenyewe. Ndivyo ilivyo kwa majirani zenu wote SADC na EAC, na ndio maana mnahisi kama mumetengwa vile ila sivyo, ni kwamba tunazingatia hatua za kisayansi na kufuata ushauri maana hili ni janga la kisayansi sio zile pumba za kikombe cha babu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuache ushabiki wa kizandiki...watanzania kwa hili tunabugi sana...kama sie tumekubali Corona imeisha kwetu kwa nini tunaogopa kupimwa wakati tunaingia kwa wengine? Kila nchi inanjia yake ya kupambna na hili janga na jiwe alisema tusipangiwe basi na sie tusiwapangie wenzetu jinsi ya kufanya kwenye hili...tunajanzwa ujinga na viongozi wetu then tunareact tu bila kujiongeza? Kenya wana haki ya kulinda watu wao kama tunaona wanatuonea kwa nini tunang'aninia kwenda? Tubaki kwetu wao waje kwetu kufata wanachotaka.
wewe ni kajinga,unatakiwa ujipe wakati kushughulisha akili yako ikae na kitu.

unaelezaje swala la wakenya kuja huju wakawa wazima ila wabongo wakienda kenya wana corona!!!wewe una corona??
 
Lazima mpimwe, hamna kuingia tu hivi hivi, ukinuka corona unatolewa nduki mkaambukizane huko kwenu....mengine yote hayatuhusu, kwa sasa tunawaza kuhusu afya na usalama wa watu wetu, kila anayekuja haswa wanaotokea kwenye mataifa ambayo yamejichokea lazima wapimwe mara mbili mbili.
afya na usalama!! leo namba inagonga 1k

kama mnaruhusu wazima pekee,sisi hatuwataki hata hao wazima huku.ndio uone hatuna faida yoyote tunaipata kutokea kwenu.
 
Back
Top Bottom