Hivi awamu hii, wafanyakazi ni polisi na wanajeshi pekee?

kluger

JF-Expert Member
Jun 16, 2016
2,093
1,894
Kwa kadhaa sasa tangu huyu Rais aingie madarakani amekuwa akipendelea wazi wazi na kutoa ahadi nyingi kuhusu majeshi, polisi, magereza na jeshi la wananchi.

Ujenzi wa nyumba, marupurupu, na ahadi chungumzima, kwangu mimi hili si tatizo sana kundi hilo la wafanyakazi kupata riziki zao.

Tatizo langu ni kuhusu sekta nyingine, wafanyakazi wamesahaulika, sekta za afya, elimu na wafanyakazi wa taasisi nyingine.

Nazungumzia maslahi ya wafanyakazi wa sekta hizo.

Keki unayogawa ni ya watanzania wote, jifunze kuwa na uwiano katika kugawa maslahi ya wafanyakazi.

Hata kama una hofu au hujiamini kuhusu usalama wako, jifunze kusawazisha mambo.

Aina gani ya baba unayefanya upendeleo wa wazi na kugawa watoto kwenye familia yako?

Hii si sawa kabisa!
 
Kwa kadhaa sasa tangu huyu Rais aingie madarakani amekuwa akipendelea wazi wazi na kutoa ahadi nyingi kuhusu majeshi, polisi, magereza na jeshi la wananchi.

Ujenzi wa nyumba, marupurupu, na ahadi chungumzima, kwangu mimi hili si tatizo sana kundi hilo la wafanyakazi kupata riziki zao.

Tatizo langu ni kuhusu sekta nyingine, wafanyakazi wamesahaulika, sekta za afya, elimu na wafanyakazi wa taasisi nyingine.

Nazungumzia Maslahi ya wafanyakazi wa sekta hizo.
Keki unayogawa ni ya watanzania wote, jifunze kuwa na uwiano katika kugawa maslahi ya wafanyakazi.

Hata kama una hofu au hujiamini kuhusu usalama wako, jifunze kusawazisha mambo.

Aina gani ya Baba unayefanya upendeleo wa wazi na kugawa watoto Kwnye familia yako?

Hii si sawa kabisa!
Acheni hiyo kazi.
 
Kwa kadhaa sasa tangu huyu Rais aingie madarakani amekuwa akipendelea wazi wazi na kutoa ahadi nyingi kuhusu majeshi, polisi, magereza na jeshi la wananchi.

Ujenzi wa nyumba, marupurupu, na ahadi chungumzima, kwangu mimi hili si tatizo sana kundi hilo la wafanyakazi kupata riziki zao.

Tatizo langu ni kuhusu sekta nyingine, wafanyakazi wamesahaulika, sekta za afya, elimu na wafanyakazi wa taasisi nyingine.

Nazungumzia Maslahi ya wafanyakazi wa sekta hizo.
Keki unayogawa ni ya watanzania wote, jifunze kuwa na uwiano katika kugawa maslahi ya wafanyakazi.

Hata kama una hofu au hujiamini kuhusu usalama wako, jifunze kusawazisha mambo.

Aina gani ya Baba unayefanya upendeleo wa wazi na kugawa watoto Kwnye familia yako?

Hii si sawa kabisa!
Labda kidogo hapo kwenye nyumba kuna kijiukweli ila fahamu kua ili majeshi yawezekufanya kazi zao kwa urahisi wanapaswa wote kua kambini ikiwezekana, hayo mengine ya ahadi sote tupo sawa tu.
 
Sasa unataka wasio na bunduki na mizinga Halafu hiii Hali wakimkaba mkuu wa nchi, Wakati unajua mkuu wa nchi anachukiwa na asilimia 90 Ya watanzania
 
Kwa kadhaa sasa tangu huyu Rais aingie madarakani amekuwa akipendelea wazi wazi na kutoa ahadi nyingi kuhusu majeshi, polisi, magereza na jeshi la wananchi.

Ujenzi wa nyumba, marupurupu, na ahadi chungumzima, kwangu mimi hili si tatizo sana kundi hilo la wafanyakazi kupata riziki zao.

Tatizo langu ni kuhusu sekta nyingine, wafanyakazi wamesahaulika, sekta za afya, elimu na wafanyakazi wa taasisi nyingine.

Nazungumzia Maslahi ya wafanyakazi wa sekta hizo.
Keki unayogawa ni ya watanzania wote, jifunze kuwa na uwiano katika kugawa maslahi ya wafanyakazi.

Hata kama una hofu au hujiamini kuhusu usalama wako, jifunze kusawazisha mambo.

Aina gani ya Baba unayefanya upendeleo wa wazi na kugawa watoto Kwnye familia yako?

Hii si sawa kabisa!
Sasa awachukie si watagawana mbao? Yeye maneno yoooote unayosikia anajigamba na kutoa maelekezo anawategemea hao hao sasa si lazima washibishe? Wasiposhiba si watagawana mbao? Ila anawajengea kitu Fulani ambacho huko nyuma kulikuwa hakuna anawapa hisia kuwa anawahonga
 
Tatizo uwoga umemjaa, anapenda kutumia risasi kwa wengine ila yeye anaiogopa mno.
Hiyo ndo sababu.
Kwa kadhaa sasa tangu huyu Rais aingie madarakani amekuwa akipendelea wazi wazi na kutoa ahadi nyingi kuhusu majeshi, polisi, magereza na jeshi la wananchi.

Ujenzi wa nyumba, marupurupu, na ahadi chungumzima, kwangu mimi hili si tatizo sana kundi hilo la wafanyakazi kupata riziki zao.

Tatizo langu ni kuhusu sekta nyingine, wafanyakazi wamesahaulika, sekta za afya, elimu na wafanyakazi wa taasisi nyingine.

Nazungumzia maslahi ya wafanyakazi wa sekta hizo.

Keki unayogawa ni ya watanzania wote, jifunze kuwa na uwiano katika kugawa maslahi ya wafanyakazi.

Hata kama una hofu au hujiamini kuhusu usalama wako, jifunze kusawazisha mambo.

Aina gani ya baba unayefanya upendeleo wa wazi na kugawa watoto kwenye familia yako?

Hii si sawa kabisa!
 
Back
Top Bottom