Leo usiku kwenye taarifa ya habari kupitia star tv anasema watu wasijihusishe na maandamo ambayo ni haki ya kila mtanzania kikatiba. eti anasema vijana msiende kuandamana na wanatakiwa kutii serikali. tena anasema eti maandamano yasiyo na kibali wasiende lakini anashindwa kutambua kwamba mtu anayeandamana anahitaji kutoa taarifa polisi ili apate ulinzi wa jeshi la polisi
-askofu makala yeye anatii mamlaka zilizofitinika kwa wizi,ufisadi,ubabe
Mimi naomba nimuulize askofu makala mbona hatujwahi kukusikia ukikemea wizi ,ufisadi na utawala mbovu uliokithiri katika nchi hii? au askofu makala unataka kutuambia kwamba wewe unaunga mkono huu uchafu kuliko maandamano ya wanyonge wanaodai haki zao?
hawa ndio wachunga kondoo wa karne hii
-askofu makala yeye anatii mamlaka zilizofitinika kwa wizi,ufisadi,ubabe
Mimi naomba nimuulize askofu makala mbona hatujwahi kukusikia ukikemea wizi ,ufisadi na utawala mbovu uliokithiri katika nchi hii? au askofu makala unataka kutuambia kwamba wewe unaunga mkono huu uchafu kuliko maandamano ya wanyonge wanaodai haki zao?
hawa ndio wachunga kondoo wa karne hii