Hivi Ally Hapi anafanya Mikutano ya hadhara kama nani? Mbona cheo chake hakina tija yoyote!?

Chadema

Chadema yakina Dr.Slaa,Wangwe ilikuwa haijapoteza dira kama hii ya akina Jacobo,wala haikuwa inahoja za kipuuzi kama hizi,yaani ushindwe kueneza chama sababu chadema wanaona cheo chako ni kidogo,hovyo kabisa.
Sasa unalia nini?
 
CHADEMA mmeishiwa hoja na kubaki vituko wa kutukana matusi na kuropoka ropoka kama mtu mwenye matatizo kichwani. Kaeni kwa kutulia maana naona mmebanwa mbavu mpaka mnashindwa kupumua. Kwa sasa mnavutishwa hewa ya moto.
Chawa wa Bashite huwa unachekesha sana
 
Hizi hela za CCM mbona zinaliwa kijinga sana namna hii, Tangu lini Katibu wa Wazee wa CCM akazurula Nchi nzima kwa mikutano ya hadhara?

Halafu ni nani ambaye anaweza kushawishika na porojo za Hapi anayetuhumiwa kuwatukana Wazee wa Chama chake hadi akavuliwa Ukuu wa Mkoa?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Mabwege lakini si mabwege sana kiasi hicho.

View attachment 2988694
Wewe mbona umeshawishika mpaka ukamletea Uzi humu?
 
Hizi hela za CCM mbona zinaliwa kijinga sana namna hii, Tangu lini Katibu wa Wazee wa CCM akazurula Nchi nzima kwa mikutano ya hadhara?

Halafu ni nani ambaye anaweza kushawishika na porojo za Hapi anayetuhumiwa kuwatukana Wazee wa Chama chake hadi akavuliwa Ukuu wa Mkoa?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Mabwege lakini si mabwege sana kiasi hicho.

View attachment 2988694
Wewe mbona umeshawishika mpaka ukamletea Uzi humu?
 
An
Hizi hela za CCM mbona zinaliwa kijinga sana namna hii, Tangu lini Katibu wa Wazee wa CCM akazurula Nchi nzima kwa mikutano ya hadhara?

Halafu ni nani ambaye anaweza kushawishika na porojo za Hapi anayetuhumiwa kuwatukana Wazee wa Chama chake hadi akavuliwa Ukuu wa Mkoa?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Mabwege lakini si mabwege sana kiasi hicho.

View attachment 2988694
Angalau huyu ana ushawishi zaidi kuliko wakubwa zake Chamani
 
Hizi hela za CCM mbona zinaliwa kijinga sana namna hii, Tangu lini Katibu wa Wazee wa CCM akazurula Nchi nzima kwa mikutano ya hadhara?

Halafu ni nani ambaye anaweza kushawishika na porojo za Hapi anayetuhumiwa kuwatukana Wazee wa Chama chake hadi akavuliwa Ukuu wa Mkoa?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Mabwege lakini si mabwege sana kiasi hicho.

View attachment 2988694
ULIPEWA AU ULIJIPA USEMAJI WA CHADEMA HUMU JF? KWA KIWANGO HIKI CHA UJINGA SIWEZI KUKUACHIA KAYA HATA KWA DAKIKA MOJA
 
Hizi hela za CCM mbona zinaliwa kijinga sana namna hii, Tangu lini Katibu wa Wazee wa CCM akazurula Nchi nzima kwa mikutano ya hadhara?

Halafu ni nani ambaye anaweza kushawishika na porojo za Hapi anayetuhumiwa kuwatukana Wazee wa Chama chake hadi akavuliwa Ukuu wa Mkoa?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Mabwege lakini si mabwege sana kiasi hicho.

View attachment 2988694
ULIPEWA AU ULIJIPA USEMAJI WA CHADEMA HUMU JF? KWA KIWANGO HIKI CHA UJINGA SIWEZI KUKUACHIA KAYA HATA KWA DAKIKA MOJA
 
Hizi hela za CCM mbona zinaliwa kijinga sana namna hii, Tangu lini Katibu wa Wazee wa CCM akazurula Nchi nzima kwa mikutano ya hadhara?

Halafu ni nani ambaye anaweza kushawishika na porojo za Hapi anayetuhumiwa kuwatukana Wazee wa Chama chake hadi akavuliwa Ukuu wa Mkoa?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Mabwege lakini si mabwege sana kiasi hicho.

View attachment 2988694
ULIPEWA AU ULIJIPA USEMAJI WA CHADEMA HUMU JF? KWA KIWANGO HIKI CHA UJINGA SIWEZI KUKUACHIA KAYA HATA KWA DAKIKA MOJA
 
Hizi hela za CCM mbona zinaliwa kijinga sana namna hii, Tangu lini Katibu wa Wazee wa CCM akazurula Nchi nzima kwa mikutano ya hadhara?

Halafu ni nani ambaye anaweza kushawishika na porojo za Hapi anayetuhumiwa kuwatukana Wazee wa Chama chake hadi akavuliwa Ukuu wa Mkoa?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Mabwege lakini si mabwege sana kiasi hicho.

View attachment 2988694

kama wewe ndio muambata wa Chairman Taifa, na hujui targets, functions, umuhimu na objectives za organs mbalimbali ndani ya vyama vya siasa vyenye nia na madhumuni ya kushika dola, kuunda serikali na kuongoza inchi,
basi ni sahihi sana wanawake wa shoka, Halima Mdee na wenzake kuwahenyesha Chadema ndani ya Chadema yenyewe na nje ya Chadema 🐒

kwasababu ni aibu kwa chama dhaifu cha siasa kushangaa chama cha siasa Imara na madhubuti, kikichanja mbunga kufanya consultation na wanainchi kuelekea Uchaguzi wa serikali za mtaa 🐒
 
kama wewe ndio muambata wa Chairman Taifa, na hujui targets, functions, umuhimu na objectives za organs mbalimbali ndani ya vyama vya siasa vyenye nia na madhumuni ya kushika dola, kuunda serikali na kuongoza inchi,
basi ni sahihi sana wanawake wa shoka, Halima Mdee na wenzake kuwahenyesha Chadema ndani ya Chadema yenyewe na nje ya Chadema 🐒

kwasababu ni aibu kwa chama dhaifu cha siasa kushangaa chama cha siasa Imara na madhubuti, kikichanja mbunga kufanya consultation na wanainchi kuelekea Uchaguzi wa serikali za mtaa 🐒
Jibu swali, kwani huyu ndio Katibu wa kwanza wa Wazee wa ccm, mbona wengine hatukuwaona , huyu kiherehere katoa wapi?
 
Hizi hela za CCM mbona zinaliwa kijinga sana namna hii, Tangu lini Katibu wa Wazee wa CCM akazurula Nchi nzima kwa mikutano ya hadhara?

Halafu ni nani ambaye anaweza kushawishika na porojo za Hapi anayetuhumiwa kuwatukana Wazee wa Chama chake hadi akavuliwa Ukuu wa Mkoa?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Mabwege lakini si mabwege sana kiasi hicho.

View attachment 2988694
Kama lissu tu!
 
Hizi hela za CCM mbona zinaliwa kijinga sana namna hii, Tangu lini Katibu wa Wazee wa CCM akazurula Nchi nzima kwa mikutano ya hadhara?

Halafu ni nani ambaye anaweza kushawishika na porojo za Hapi anayetuhumiwa kuwatukana Wazee wa Chama chake hadi akavuliwa Ukuu wa Mkoa?

Ni kweli kwamba Watanzania ni Mabwege lakini si mabwege sana kiasi hicho.

View attachment 2988694
Hii inch drama ni nyingi na yeye anatafuta Kiki
 
Back
Top Bottom