Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,425
- 222,616
- Thread starter
- #21
Sasa unalia nini?Chadema
Chadema yakina Dr.Slaa,Wangwe ilikuwa haijapoteza dira kama hii ya akina Jacobo,wala haikuwa inahoja za kipuuzi kama hizi,yaani ushindwe kueneza chama sababu chadema wanaona cheo chako ni kidogo,hovyo kabisa.