Suala la uchafu wa nywele na mengineyo ni tabia ya mtu.Suala la hijabu kuvaliwa shuleni sisi wanaoona mbali tulishajua litaleta matatizo,
Hasa kwa wanafunzi wanaokua tena ni wakike, madhara yake wameshaanza kuzificha mimba, Nywele chafu, na wengine wamesuka, inaondoa Uniformity of students,
Alafu pia nasikia maeneo mengine hata wakatoliki wameanza kudai nao kuvaa baadhi ya ishara za kikatolik shuleni, vipi kila dini hata hasiyekuwa na dini akisema aende na Tunguli zake?
Tutafakari upya juu ya hijabu kuvaliwa shuleni kwa shule za serikali,
Britanicca
Ulilogusa lingine ni madhehebu mengine kuruhusiwa na umetaja wakatoliki.Masister wa kikatoliki wanavaa magauni marefu na pia hawatembei vichwa wazi,unaonaje tukiwahimiza ma binti wa kikatoliki kuanza hivi.
Brittanica ni mzoefu hapa, na kwa tamaa ya kuingiza/kupata wapiga kura tunajenga mambo mengine pia ambayo si mazuri.Nakupa assignment kasikilize salaam wakati wa kufungua mikutano,je zinajenga utaifa au zinabomoa?