Parabolic
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,756
- 2,645
Kama kuna kitu huwa kinashangaza katika utwala wa Rais Kikwete ni pale anapoteua mawaziri. Hebu angalia huyu Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima, kweli kulikuwa na sababu ya kumpa nafasi hiyo? Kulikuwa na sababu gani kuweka mawaziri watatu pale?
Angalau Mwigulu Nchemba anachapa kazi hata kama ana lengo la kuwania urais, lakini huyu Malima!
Alianza kuwa Naibu Waziri Nishati na Madini, wakabwagwa. Akaingia kwenye Kilimo, hakuna kilichofanyika zaidi ya kuitwa mzigo. Sasa kaletwa wizara ya fedha ndio kabisa kazimika.
Najiuliza, hivi JK anaona sifa gani za kuendelea kumpa wizara huyu jamaa?
Angalau Mwigulu Nchemba anachapa kazi hata kama ana lengo la kuwania urais, lakini huyu Malima!
Alianza kuwa Naibu Waziri Nishati na Madini, wakabwagwa. Akaingia kwenye Kilimo, hakuna kilichofanyika zaidi ya kuitwa mzigo. Sasa kaletwa wizara ya fedha ndio kabisa kazimika.
Najiuliza, hivi JK anaona sifa gani za kuendelea kumpa wizara huyu jamaa?