HIV

booyaca619

Member
Apr 22, 2017
19
3
Hanvar zenu wanajamii naomba msaada wenu waawazo je ukishikwa sehemu uliochomwa sindano wakati bado damu inatoka kwenye mshipa na muathirika akikushika na kuusugua mshipa unaotoa damu kwa vidole vyake bila ya glove wala pamba unaweza kupata maambukizi ya vvu
 
Hanvar zenu wanajamii naomba msaada wenu waawazo je ukishikwa sehemu uliochomwa sindano wakati bado damu inatoka kwenye mshipa na muathirika akikushika na kuusugua mshipa unaotoa damu kwa vidole vyake bila ya glove wala pamba unaweza kupata maambukizi ya vvu
Kama huna jeraha kwenye ngozi uko salama lakini kapime baada ya miezi mitatu kuhakikisha
 
Hanvar zenu wanajamii naomba msaada wenu waawazo je ukishikwa sehemu uliochomwa sindano wakati bado damu inatoka kwenye mshipa na muathirika akikushika na kuusugua mshipa unaotoa damu kwa vidole vyake bila ya glove wala pamba unaweza kupata maambukizi ya vvu
Kama huna jeraha kwenye ngozi uko salama lakini kapime baada ya miezi mitatu kuhakikisha
 
Na kupima nilisha pima baada ta siku9 ya kushikwa nilipo pata hofu nikafanya kipimo cha pcr dna hiv1 neg
 
Hi Salim!
Welcome to icliniq!
Following are the answers to your queries:
1) HIV can not be transmitted just by touching of HIV infected person.
2) Firstly you don't require PEP in this scenario. Just to add, PEP has to be started immediately, as early as possible, with in 72 hours.
3) Regarding getting a test, there is no harm in knowing your baseline HIV status.
4) It is always advisable to wear safety belts while driving
Give feedback: Like It Dislike
Send Your Reply
Files to attach?
Upload MRI/ CT Scan Files Your Query 2 hours ago
 
Kama aliyekusugua hakuwa na mchubuko huwez pata....lakini unasema ulishapima majibu negative wasiwas wako nn?
 
Unapohisi maumivu ya hizo zinazoitwa dalili za HIV unapopima jee result inakuwa positive or negative?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom