cantonna
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,120
- 439
kuna tetes zimezagaa kitaa eti kuna awamu nyingine ya kwenda jkt baada ya kurud hawa wanaoingia tareh 24 mwez huu na awamu hiyo itaingia jkt mwez wa kumi mwanzon had wa 12 mwishoni afu chuo wakwanza!jaman hv hz taarifa zitakuwa na ukweli ndan yake?!?