Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,938
- 1,437
Nimetazama clip moja google nimeona niwaleteee hapa ili wataalamu wa afya nanyi mtoe maoni yenu.
Kuna hoja niliwai kusikia rais mbeki wakati ule alisema kuwa HIV haisababishie ukimwi. Naamini sasa kuwa maneno ya rais mbeki wakati ule yalitokana na kuangalia , kusikiliza na kushawishika kuwa ukweli AIDS haisababishwi na HIV
Baadhi ya nakuu kwenye hii clip ni
Angalieni clip kwenye link hii
http://video.google.com/videoplay?docid=-8142733917997460212#
Kuna hoja niliwai kusikia rais mbeki wakati ule alisema kuwa HIV haisababishie ukimwi. Naamini sasa kuwa maneno ya rais mbeki wakati ule yalitokana na kuangalia , kusikiliza na kushawishika kuwa ukweli AIDS haisababishwi na HIV
Baadhi ya nakuu kwenye hii clip ni
- ow USA gave AIDS to the world
- AIDs reasearch has not failed bcs it never found a cure but AIDs reasearch has failed bcs it never found a cause
- Hundered of thousand of ppl have been given toxic drugs treatment some of which cause AIDS itself
Angalieni clip kwenye link hii
http://video.google.com/videoplay?docid=-8142733917997460212#