Hitwe ni mtandao gani?

kaziba mdomo? labda ana mdomo wa sungura

kubwa ukituma mkwanja umeliwa.
 
hao mbona wapo wengi siku hizi. kila siku wanabuni mbinu mpya za kula kisicho fanyiwa kazi,achana naye au kama vipi aje,tena mwambie aje na rafiki zake........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…