Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,915
- 30,259
Mimi nilimuuliza kama ana takwimu za sasa kuhusu upendeleo wa elimu lakini akasema itakuwa kazi ngumu. Sasa kazi ngumu kivipi wakati tayari mtu anasema kuna upendeleo. Tupo 2011 mtu anatumia takwimu za mwaka 1999. Mimi bado namsubiri athibitishe hiki kitu!
Sweke34,
Ikiwa unategemea mimi nifuate unavyotaka utachelewa sana.
Huwa si mtu wa ubishi ule wa nipe nikupe Mwanakijiji nishamweleza hilo. Sina hulka ya kung'ngania mimi ikiwa tumefika mahali tumekwama sote wawili nasonga mbele na mjadala.
Ningekuwa na tabia hiyo mngelikuwa mshachoka na mnakasha toka jana. Bado mpo na mimi kwa kuwa mnasoma kila uchao.
Tuendelee mbele na historia ya wazee wangu toka jana nimeweka vitu vingi ambavyo nina hakika hamkuwa mnavijua hata FF akanipa mji.
Mohamed