Historia ya Noti na Sarafu za Tanzania

Hii pesa ilitesa sana enzi zake.

Kuna mshkaji alikuwa anaiweka mfuko wa juu wa shati jeupe la shule, halafu anakukuta wewe huna kitu unabaki kuwa mdogo tu.
 
Tulio tumia hizi note tunajua ubora wake, hakika zina ubora sana kuliko zilizopo, pia zinapendeza machoni na zinatangaza utalii wa nchi kwa upande mwingine,
 
Sababu kuu

Thamani ya pesa inatakiwa izidi gharama za matengenezo..hiyo pesa production yake ina thamani kuliko purchasing power yake so lazma waibadilishe

Mfano..
Tsh 100 material yake yangekua makubwa kuliko purchang power yake basi watu badala ya kuitumia kununulia vitu wangeiyeyusha kupata faida zaidi

Ufafanuzi zaid;fikilia hii mia tano ya coin itengenezwe na material yenye thamani ya Tsh. 1,000 watu wangeyeyusha kupata faida mala mbili
 
So kwa kifupi ile jero ya zamani thamani kuitengeneza ni kubwa kuliko vitu itakavyonunua
 
Wengi hatukujua kumbe Sarafu ya East Africa iliwahi kuwepo.wengi tulidhani kizazi hiki ndio kitakuwa waanzilishi.
 
Nashukuru sana kwa kupata historia hii ya matumizi ya noti Tanzania lakini noti tunazotumia sasa zimeshabadilishwa ndogo ikianzia mia tano lakini baada ya uchakavu kuzidi kwenye noti ya mia tano benki kuu ikaona iondoe kabisa mia tano ya noti na kuifanya ya sarafu.
Nahukuru tena.
 

Peruzi ipo nyingine ya Tsh. ni nzuri pia kufundishia watoto nyumbani hata shuleni.
 
Bora Mkapa hakuweka sura yake kwenye shilingi maana kila rais angekuwa anaweka sura yake katika uongozi wake.
 
Darasa halijafungwa bado!! Nnaombea hadi kizazi changu cha tano kiendelee kuelimika na kumbukumbu hii! Hongera Kichuguu (kama bado upo hapa)
 
Saluti babu
 
Hiyo noti ya Masai nilikuwa nasikia wakisema ni admu mtu kuwa nayo miaka hiyo ya 1969, maana mshahara wa mwalimu wa msi ngi ulikuwa haufiki shs 30/=.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…