Historia ya neno Msela na Baharia

mimi kama mwenyekiti wa mabaharia simtambui huyu anayejiita katibu wa mabaharia,anachafua sana sifa ya mabaharia kwenye vyombo vya habari, mabaharia wenzangu mumpuuze,anadiriki kusema paul bashite ni baharia,bashite sio baharia, baharia hafoji vyeti
 
Reactions: Qwy
Kuna taarifa zinasema bashite ni baharia,makonda sio baharia, baharia kamwe huwa hana skendo za ushoga
 
Upuuzi unapopewa promo unafanya hata watu makini kuonekana hamnazo..
 
Utoto umekutuma kudhani hizo ndo sifa z baharia,
Kifupi ulichosema ni ubaharia mavi,
 
Mziki wa singeli umechukua nafasi.Maneno hayo yamedumu miaka nenda rudi kwenye mnanda had I sasa singeli ila nyie wengine mliona maneno ya wahalifu tu.sasa Leo imekuwa eri habari ya mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…