Historia ya kusisimua ya Sumbawanga

Historia ya kusisimua ya Sumbawanga

mkuu safi sana.sasa hapo zana zote zipo pamoja.dah tena jumba linaonesha architect yake ni mjeruman hiv hizo arch way..Familia ikae kiongoz ateuliwe watie muhtasari waanzishe museum ya familia.case study butiama
 
mkuu safi sana.sasa hapo zana zote zipo pamoja.dah tena jumba linaonesha architect yake ni mjeruman hiv hizo arch way..Familia ikae kiongoz ateuliwe watie muhtasari waanzishe museum ya familia.case study butiama
picha hizo ziwe enlarged in format nzuri zinawekwa dispalys.
Na fikiria aliyeandika historia ni mzungu..sisi waafrika hatuwezi, serikali haiwezi, inapelekea hata vijana haswa kizazi hiki wanaoshusha mlegezo makalioni hawajui wametokea wapi, mimi kama mtanzania i have play my part najua Jamii Forums itaendelea kuwepo na kusomwa.
 
Mwalala uliiii, najivunia kuwa mfipa. Nimetokea pale, Msanzi, Matai, Wilaya ya Kalambo.
Billions ubarikiwe sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom