GE2010 Historia ya kanisa inajirudia

kwamwewe

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2010
Posts
1,908
Reaction score
608
[video]http://blip.tv/mzalendonet/wakristo-wa-tanganyika-walishirikiana-na-wajerumani-kuwaua-waislam-2-5442111[/video]
 
[video]http://blip.tv/mzalendonet/wakristo-wa-tanganyika-walishirikiana-na-wajerumani-kuwaua-waislam-2-5442111[/video]

ikiwa hii ndio kazi ya kanisa tz kuna kazi
 
[video]http://blip.tv/mzalendonet/wakristo-wa-tanganyika-walishirikiana-na-wajerumani-kuwaua-waislam-2-5442111[/video]

Ukiwa huna muda basi tafadhali SIKILIZA DAKIKA 5 ZA MWISHO. Hapa umetolewa ushahidi wa kuifanya nchi isitawalike uliopangwa na mh Slaa. Adha gani huyu Dikiteta anataka kutuletea. Ama kweli kazi ipoooooo.
 
Hapa umetolewa ushahidi wa kuifanya nchi isitawalike uliopangwa na mh Slaa. Adha gani huyu Dikiteta anataka kutuletea. Ama kweli kazi ipoooooo.
Hata mimi naweza kuifanya nchi hii isitawalike kwa kuwa
1. Haina serikali per se
2. Wanaojiita serikali wanatuonea tu wananchi
Sasa formula ya kuifanya nchi isitawalike ni kuwaambia wananchi hizo fact mbili. Wakinuna tu nchi haitawaliki. Akina Ngonda ambao nahisi wana maslahi fulani na mfumo huu pekee watalilalamikia hilo. BTW mwenye uwezo wa kuifanya nchi itawalike au la kwa kusluhisha mambo hayo mawili ni rais wako!
 
Ni njia ya kuvutia kasi muda wa kufuturu! Swaumu inahitaji moyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…