Ukiwa huna muda basi tafadhali SIKILIZA DAKIKA 5 ZA MWISHO. Hapa umetolewa ushahidi wa kuifanya nchi isitawalike uliopangwa na mh Slaa. Adha gani huyu Dikiteta anataka kutuletea. Ama kweli kazi ipoooooo.
Hata mimi naweza kuifanya nchi hii isitawalike kwa kuwa
1. Haina serikali per se
2. Wanaojiita serikali wanatuonea tu wananchi
Sasa formula ya kuifanya nchi isitawalike ni kuwaambia wananchi hizo fact mbili. Wakinuna tu nchi haitawaliki. Akina Ngonda ambao nahisi wana maslahi fulani na mfumo huu pekee watalilalamikia hilo. BTW mwenye uwezo wa kuifanya nchi itawalike au la kwa kusluhisha mambo hayo mawili ni rais wako!