Sobibo Mzee Baba Hitler aliwahukumu Wayahudi kwa kosa la kumuua Yesu kwa hio akasema atawaua wote hatomuacha Myahudi hata mmoja ndio ikaja hio issue ya Sobibo lakini pia kuna Schindlers List hio pia wanakula kibano pia, sema jamaa wana akili hio ndio shida nyingineNani mwenye kujua historia hiyo vizuri, nimeona Ile movie ikieleza na kuonyesha hali ilivokuwa wakati huo.
Naombeni na picha za wakati huo na sasa
Toa upupu wako hapaSobibo Mzee Baba Hitler aliwahukumu Wayahudi kwa kosa la kumuua Yesu kwa hio akasema atawaua wote hatomuacha Myahudi hata mmoja ndio ikaja hio issue ya Sobibo lakini pia kuna Schindlers List hio pia wanakula kibano pia, sema jamaa wana akili hio ndio shida nyingine
Kasome tena upya halafu kesho Shule fanya ulaleToa upupu wako hapa
Hakuna stori za yesu kwa Hitler