Historia: Kibasila ni nani au nini?

Ha ha haaaa.. mji wa watu huu síe wakuja inabidi tutembee kwa step, sio unakuta waliozaliwa Muhimbili vitovu vyao vikafukiwa Kinondoni afu wamekulia Ilala wanaongea stori zao na wewe unaingia kichwakichwa.. inabidi uwe mpole kwanza..
Umesema kweli mkuu nakumbuka muimbaji mmoja alisema hapa mjini nenda pole pole . Haya ngoja tuwaache wenyewe wa mujini wajadili lol
 
Kweli mkuu... Mji una wenyewe huu...
Kumbe mji huu una wenyewe hakika mimi sikujua nilidhani mradi ushaingia na kupanda dala dala basi na wewe wa mjini kumbe mpaka uwe registered. Asante kwa kunijuza mwee.
 
Mtu anataka kufahamishwa historia ya jina hilo lakini naona wanafunzi waliosoma hapo nao hawajui zaidi ya kutaja majina ya Guest na kutuma salamu kwa wanafunzi wenzao ambao wengine marehemu tayari. Kweli Mtanzania ni Mtanzania tu.
Jibu lilishapatikana la maana ya Kibasila na St Xavery sasa wewe saa 9:38 usiku wa manane unatafuta nini wakati wenyewe wa Kibasila tumeshawasiliana hata waliopotea kupitia JF ? km una maana ingine ungeweka basi ili tuchangie
avatar110765_1.gif
Zinduka Mkuu naona bado usingizi hii ndio JF ina vitu vingi ukiona havikuhusu pita!!! inayowahusu wataongezea baada ya jibu kupatikana kwani hakatazwi member
 
Huyo Kibasila Chifu katajwa ukurasa wa 112 wa paper hii http://www.venets.org/getfile.php?id=143.

Nasikitika sijaona sehemu yoyote mtandaoni penye historia ya Dr. Kibasila, shukurani kwa member aliyetoa historia yake fupi, nakumbuka kumsoma huyu, pamoja na Mwaisela na Sewa Haji walikuwa watu maarufu katika sekta ya afya tangu enzi za ukoloni.
 
Habari zenu wanaJF?


Watu wengi hasahasa wakazi wa Dar Es Salaam huwa wanajiuliza KIBASILA ni nani?
Pengine wengi hawamjui huyu KIBASILA alikuwa ni mtu maarufu sana miaka ya 1905-1907 pale Mzizima ambapo siku hizi ni Dar Es Salaam.
Ukiangalia pale hospitali ya taifa ya Muhimbili kuna wodi maarufu inaitwa Kibasila.

Ukija wilaya ya Temeke kuna shule ya serikali ya kidato cha I hadi VI inaitwa Kibasila.


Je ushawahi kujiuliza Kibasila ni nani huyu?

Usikae mbali nikupe historia yake.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Uku Morogoro kuna bonde kuubwa sana linaitwa (Java la Kibasila) ambalo linachukua drainage yote ya Miinuko ya Lupembe(Njombe),kuja mabonde ya Morogoro hadi mpakani mwa Mororgoro na Ruvuma(Milima ya Motogoro).Huwa najiuliza hili Jina, Kibasila ni Nani?.
 
ume
Mtu anataka kufahamishwa historia ya jina hilo lakini naona wanafunzi waliosoma hapo nao hawajui zaidi ya kutaja majina ya Guest na kutuma salamu kwa wanafunzi wenzao ambao wengine marehemu tayari. Kweli Mtanzania ni Mtanzania tu.
nichekesha sana mku, achana na kiktu inaitwa mtanzania
 
umejitahid sana mkuu, miaka inaenda
Aahh yaani kila kitu bure msosi ulikua wa nguvu ,nakumbuka tulilipa ada sh 750 lol siku hazigandi nauli ya mwanafunzi ilikua sh 1 . Tulinyanyaswa na makonda jamani.
 
Back
Top Bottom