Hisia zangu kwa wanawake wa JF

Hisia zangu kwa wanawake wa JF

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha umenifurahisha, ahsante
Mimi huwa sikosei kabisa. Nilenge halafu nikosee, never.

Kicheko chako, kimethibitisha. Tafadhali, nibariki japo kapicha ka lips zako. Au hata picha ya miguu yako. Au hata kucha zako.

Ukiona haifai kutupia hapa sebuleni, nitumie hata PM
 
Mkuu ulietoa mada hii, elimu uliotoa hapa inaitwa "Unajimu" jitahidi ukibobea kwenye elimu hii tutakuweka kwenye kundi la wakina marehemu yahya huseni.
 
Nani amekwambia kufanya ubashiri kwa mke wangu?

Sipendagi ujinga mimi!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom