G.25
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 1,788
- 1,967
Mh...watu na watu wao, mashemegi wanakula, si wenye damu ya kunguni tumebakia na keyboard, hiv apa jf kweli hakuna mdada ambae anaweza kunipenda bure kabisa! Natamani mungu anijalie nimpate mwenye kujielewa nami niwe na wangu, huu upweke utaniua" roho inauma sana!