Hisia zako wakati unachepuka

Hisia zako wakati unachepuka

Duh kuchepuka kazi kama kutafuta kazi. Mi nina mke lakini kila ifikapo kwenye suala la kusaliti duh ni ngumu sana inatakiwa hisia zako sijui uzifiche wapi aiseee. Wanaochepuka wanaweza kuua!!
 
Je hao wanaojiuza hufanya mapenzi kwa hisia kweli? Wanawake ni viumbe wa ajabu sana anaweza akawa anakukataa kabisa anasema hata hakupendi ukiongeza bidii kidogo ukafanikiwa kuivua baasi anageuka kuwa mahaba niuee!
 
Nachepuka na mtu mmoja huu mwaka wa tatu na SIJUTII na nikirudi nyumbani "hi baby how waz ur day"wala sioni tabu

Mh! Endelea tu huenda iko siku ambayo itakufanya ujute kwa kitendo hicho na utabaki tu na "ningejua"
 
Back
Top Bottom