Hisia za mapenzi zikifa unafanyaje?

Mmeoana mkiwa mnapendana kwa dhati, mapenzi motomoto. Baada ya miaka kadhaa ukajikuta huna hisia kabisa na mwenzi wakoje kimila kidini au kisheria unaruhusiwa kumwacha?

Nipo kitandani muda huu hakuna kinachoendelea.
Peleka tatizo lako mbele za Mungu atarudisha kila kilichopotea back to normal...
 

Wanawake wapo bwerere wa kulala nao tu. Anza kusaka wa ku-wife ndiyo uone muziki wake. Ni zoezi gumu kupindukia !!!
 
Ingekuwa nimpira tungemualika mwalim kashasha,,sasa mapenzi yasivyo naformula maarum sijui itakuaje labda tutumie 4figer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…