Hisia za mapenzi zikifa unafanyaje?

Kuna kitu kinaitwa kukinaii...!! Ukishamzoea sana mtu unamkinaii yani sawa na demu kabla ya kumpata unamuona mzurii ilaa ukishampataa sasaa
Unamuona wa kawaida kinachokuvutia kwakwe ni matamanio kuna mengi katika mawazo yako juu yake au na yeye kajiweka wa kawaida sna kiasi kwamba hana ashiki tena
 
Ila hata nyie wanaume huwa mna tu chosha hamna unakuta hamna hamtu *** vizuri. In short ukikaa na kitu kimoja kinachosha ni Kama kula maharage daily. Vile wanawake huwa hawasemi na kupiga kimya ndio maana inatakiwa ukiwa na mtu umpende Toka moyoni ngono isiwe kiupaumbele, maana apart from ngono mwenzi wako ana offer kitu gani zaidi extra?
 
ukiona umemchoka mtongoze tena kwa mara nyingine..sisi huwa tunaita system update

Kama Hard disk imekuwa kubwa au Ndogo Maana kuna vitu vitashindwa kukaa sawa kwa sababu ya ku update system

Alafu kuhusu swala la Kumtongoza tena changamoto iko kwenye vitu hivi
-Vocha ya simu ili uwe kila wakati unapiga simu na kutuma sms
-Lakini pia mazingira wakati huo alikuwa kwao lakini leo yuko kwako(Kwake)
-Na kama kuna viumbe vimeongezeka pia nalo sijui linawekwaje ila kubwa sana Me na nadhani kukumbuka mazuri yake na kupunguza kama sio kumaliza kabisa FRIEND MATCH maana hizo ndio hasa zina sababisha ulinganifu bila kujua kuna kitu kina Kinaitwa Margina utility
 
Kama haku.....vizuri na zamani alikuwa anakut...... vizuri ,jichunguze tatizo linaweza kuwa kwako mwenyewe
 
Mkuu uliposema ,issue ya kemikali,hormone, hebu fafanua zaidi nahic kuna vingi hatuvijui
 
Kama haku.....vizuri na zamani alikuwa anakut...... vizuri ,jichunguze tatizo linaweza kuwa kwako mwenyewe
Kama hafanyi vizuri kanikwaza Sina hisia naye, naona Hana jipya, mahusiano ni complicated sana
 

"kama amevaa ovaroli"
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Ukiongea na wanandoa wale walokuwa kwa ndoa kwa muda mrefu watakwambia hicho ni kipindi ambacho karibia kiiiila ndoa hupitia, haijalishi hata kama ulioa malaika. Na ndicho kipindi kigumu kweli na kipimo cha uvumilivu wenu. Mkivuruga hapo basi anniversary mtaishia kuzisikia tu kwa wenzenu.

Mambo mengi sana hupelekea maana kadiri mnavyoishi, maisha na majukumu pia hubadilika na kuongezeka. Wanaume hukimbilia kuwaona wanawake tu ndio wamepoteza mvuto ila hata wao hupoteza mvuto. Ndio ile unatamani mumeo hata asafiri angalau upumue maana kumuona kila siku hutaki hata hisia nae huna tena.

Nimekumbuka kuna mama yeye mumewe kahamishiwa mkoani ila kagoma kumfuata maana kwanza imekuwa ni furaha kwako wao kuwa mbali mbali. Anadai amechoka suffocation na hana hamu tena na mumewe.
 
Huwa nashangaa wanaume kulaumu wake zao, huwezi linganisha uchumba na ndoa na mkishapata watoto na majukumu huongezeka.
 
Huwa nashangaa wanaume kulaumu wake zao, huwezi linganisha uchumba na ndoa na mkishapata watoto na majukumu huongezeka.
Hawalionagi hilo, huwa wanafikiri ni sisi tu ndio hupoteza mvuto.
 
Hawalionagi hilo, huwa wanafikiri ni sisi tu ndio hupoteza mvuto.
Wao hukimbilia kulaumu tu, hata ukiwa tu kazini huwa Kuna mda unachoka na hyo kazi au Mambo mengine tu na solution sio kulaumu kazi ni wewe tu kutokutaka kubadilika.
Hali nyingine hyo huwa ni stress tu inabidi kutafta wataalamu basi.
 
kweli nimeamin tabia has nothing to do kitandani
 
Kama hafanyi vizuri kanikwaza Sina hisia naye, naona Hana jipya, mahusiano ni complicated sana
Kama tatizo ni kutokufanya Vizuri mwambie tu,Ila Kama huna hisia huwezi kumwambia
 
Kama tatizo ni kutokufanya Vizuri mwambie tu,Ila Kama huna hisia huwezi kumwambia
Una mwambia ukweli na yeye ukute ana feel same situation unayopitia. Shida watu huwa hawawi wawazi kwenye mahusiano, Mimi ningemwambia tu ikiwezekana mupeana distance kwa mda
 
Inategemea zmekufa mda gani unatoa taarifa kwa watu wako wa karibu kwanza wakati unaendelea na taratibu nyingine,taratibu nyingine hapa nadhani nimeeleweka (katamtipandamti)usilazimishe kuzifufua kwani utaishi kw wasiwasi siku zako zilizobakia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…