Speculator
Member
- Mar 30, 2012
- 56
- 4
Selikali iingilie kati itusaidie vinginevyo DSE itakufa wakidhani wana ikinga matokeo yake ni kufa kabisa, nadhani karibia miaka 3 sasa, tulinunua kwa shs 150 @ mbali na mfumuko wa bei wa kitanzania wastani wa 18% kwa mwaka, kwa maana hiyo 18x3=54% ni sawa kusema leo hii hiyo hisa tumeinunua kwa shs 150 + 54% = shs 231 @, leo sokoni inauzwa shs 108,,,,,,,,, HASARA ! !HASARA ! !HASARA ! !HASARA ! ! Shs 231 -108 =shs 123 HASARA ! ! 82% loss,,,,,,,, Bado walivyo wazurumati wanakuzuia usiuze kwa nini uzuiliwe kuuza hata hicho kiducu kilicho baki ? ? ? kweli MJANJA ANAKULA KWA MJINGA,,,,, Au basi waturuhusu iwe dhamana (collateral) ya mikopo ili tutumie pesa yetu wenyewe bado tuwalipe riba ,,, BADO HAWATAKI.... LENGO LAO NI NINI ? ? ? ?