Kama ajali ilitokea kimakusudi ni rahisi na neno uwawa linaweza kutumika, kwani lipo katika kuonyesha hali, kimsingi maneno wamekufa, mawefariki, au wameaga dunia, ni maneno stahiki katika kuelezea habari juu ya ajali.
Silipingi neno wamepoteza maisha, bali sikubaliani nalo kwani si stahiki, na hii nikutokana na kitendo cha kupoteza humrejelea muhusika, ilhali tunafamu wahusika wote huwa wametendwa katika mzingira ya ajali.